Pili pili na tangawizi...!

Pili pili na tangawizi...!

B the Don

Member
Joined
Aug 28, 2013
Posts
79
Reaction score
4
Happy easter jaman.....!

Kulingana na maneno ya watu wanasema pilipili inapunguza nguvu za kiume, imani yangu inanifanya niamini maana ukila pilipili halafu kama ni mwana riadha ni lazima utakuwa unachoka mapema..

Vip kuhusu TANGAWIZI ina effect hizo hizo.....! na inafaida gan mwilini?
 
basi wahindi wangekuwa hawana nguvu kabisa...
 
Mwe?!?!?!!!!

Kama ni kweli basi Rest In Peace my Dudu....

Mkuu ni baada ya muda gani hizo athari zinajitokeza?
 
Mwe?!?!?!!!!

Kama ni kweli basi Rest In Peace my Dudu....

Mkuu ni baada ya muda gani hizo athari zinajitokeza?

navyosikia kula pilipili kwa wingi au mara kwa mara kwa mda mrefu husababisha ilo tatizo ila cjatafiti zats why nimepost kwenye ili jukwaa....!
 
Mzizimkavu, njoo huku umsaidie B the Don,....

tunakusubiri mzizimkavu Utoe hitimisho....!
PILIPILI HUIMARISHA UJASIRI NA NGUVU MWILINI!


Kama ilivyo kwa matunda na vyakula vingine kuwa na faida kiafya mwilini, pilipili nayo ni moja wapo. Licha ya kuogopwa na baadhi ya watu, lakini ina kiasi kingi cha vitamin C.

Umuhimu wa Vitamin C mwilini, humfanya mlaji awe imara na ndiyo maana wala pilipili siyo waoga, ni watu wenye kujiamini, hawaugui hovyo na huimarisha nguvu za mwili kwa ujumla.

Kwa mujibu wa kumbukumbu zilizopo, pilipili ina asili ya Marekani. Wafanyabiashara wa Ulaya waliipeleka barani Asia ambako nako Waarabu katika pilikapilika za biashara ya utumwa wakajikuta wameileta Afrika Mashariki, ikiwemo Tanzania.


Aidha, pilipili inadaiwa kudhibiti uzito, ingawa haijathibitishwa rasmi kama inaweza kupunguza uzito wa mwili. Hata hivyo, pilipili ina faida lukuki za kiafya ambapo inajulikana kwa uwezo wake wa kudhibiti maumivu ya viungo na ugonjwa wa kisukari.


Utafiti uliowahi kufanywa nchini Marekani na Chama cha Watafiti wa Ugonjwa wa Saratani, umegundua kuwa upo uwezekano wa pilipili kuua na kutokomeza viini vya saratani ya uzazi na mapafu, endapo italiwa chini ya usimamizi na maelekezo ya daktari.


Ili kupata faida za pilipili kama zilivyoainishwa hapo juu, hakikisha mlo wako unakuwa na pilipili kwa kiwango utakachoweza kukimudu, na inapendekezwa pilipili iwe mbichi, na kama utaipika pamoja na kitoweo au mboga, hakikisha unatumia pilipili halisi na siyo ya kwenye makopo.


Hata hivyo, unaweza usiipate pilipili halisi kutokana na mazingira au usile kutokana na matatizo mbalimbali yakiwemo ya kiafya. Upo msaada wa tibalishe za ‘Go!’ ambazo zinaweza kufanya kazi mbadala wa pilipili. Zipo Go! za aina nne yaani, Man, Woman, Focus na Workout ambazo zipo madukani karibu nchi nzima.


Go! Man itakuongezea kinga ya kupambana na maradhi kwa mwaka mzima huku ikiboresha uhai wa moyo. Itafukuza maumivu ya mgongo, kiuno na miguu pia. Itakusafisha ubongo na kurejesha kumbukumbu na kuimarisha afya kwa ujumla.


‘Go! Woman’ itampa mwanamke vitu vyote hivyo ila imeongezwa vikorombwezo vitakavyomfanya mwanamke mrembo kwa kukarabati kucha zake, ngozi na nywele pia. Tibalishe ni msaada mkubwa wa kurekebisha afya zetu kwa sababu katika hali ya kawaida hatuwezi kukidhi mahitaji ya miili yetu kwa chakula pekee.Tibalishe nyingi zipo madukani, iwapo utashindwa kuzipata tafadhali tuwasiliane tukusaidie kuzipata. Ila, kumbuka kula pilipili daima uwe THABITI.

Pilipili na Tangawizi ni nzuri zinasaidia nguvu mwilini na afya ni kweli.
 

Attachments

  • pilipili2(2).jpg
    pilipili2(2).jpg
    55.9 KB · Views: 198
  • pilipili.jpg
    pilipili.jpg
    48.7 KB · Views: 274
nimekuelewa mzizimkavu yaani umenifumbua macho sizan sasa kama nitaiyogopa teana pilipili... Asante sana...
 
Back
Top Bottom