KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Tatizo unakula zile pilipili kichaa..😂Sasa mimi hata nikijaribu Ile wanayosema wengine hamna kitu hapa, huwa naona ni balaa.
Pilipili kwakweli hapana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo unakula zile pilipili kichaa..😂Sasa mimi hata nikijaribu Ile wanayosema wengine hamna kitu hapa, huwa naona ni balaa.
Pilipili kwakweli hapana.
Utamu wa pili pili upo kwenye uchungu wakeHabari za muda huu
Kama kichwa kinavyosema.
Japo tunatofautiana lakini twende mbele turudi hivi pilipili ina raha gani?
Kila nikijaribu ili niione kawaida kama wengine, asee naona hapana huku ni kujitesa, halafu unakuta kuna mtu haoni raha ya chakula bila ya pilipili.
Hivi mnasikia raha gani?
Yaani chakula kizuri, kitamu halafu unaongeza tena na pilipili aloo..........kwangu huko ni kuharibu chakula.
Watu ambao wapo serious wanajua kuwa kula pilipili ni kujiadhibu😂😂😂 njooni taratibu.
Hadi pilipili hoho..?mi pilipili zote kwangu ni kichaa tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Pilipili sio chungu mkuu!Utamu wa pili pili upo kwenye uchungu wake
Mashaallah, pilipili ndiyo mpango mzima hasa kwa tuliokaa muda mrefu west africaUkiachana na faida za kiafya. Pilipili inaongeza hamu ya kula. Pilipili ilivyo tamuuu mimi napenda pilipili uwiiii. Kwenye chai inabid nijaze black pepper ili ninywe.
Pia inaongeza na hamu ya kunanihii...Ukiachana na faida za kiafya. Pilipili inaongeza hamu ya kula. Pilipili ilivyo tamuuu mimi napenda pilipili uwiiii. Kwenye chai inabid nijaze black pepper ili ninywe.
👍👍👍
[emoji23][emoji23][emoji23]walijua wageni wao wote ni wahindi nyie mlivamia harusi.Umenikusha Kuna harusi ya jamaa yetu mmoja Muhimdi pale Kisutu, chakula chote kulikuwa na pilipili,mpaka wali wao.......ikabidi wakatununulie chakula nje, tulikuwa kama 8 hivi hakuna aliyeweza kula chochote
🤣🤣🤣na kamasi kibao😀