Mkuu kama unaongelea pilipili mboga mi inanishangaza, kila nikila chakula lazima niweke pilipili japo inaniwasha na wakati mwingine machozi yananitoka lakini siiachi, kweli nami hapo nataka kujua huwa inanini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.