Pilipili ya mwendo kasi

Wakongwe hatuwezi kuingizwa chaka kirahisi... ngoja kwanza nisome katikati ya mistari ili nijue hii pilipili inayozungimziwa hapa ni ile ya shambani au ya chumbani

Will be right back...
 
Mareale makaveli aahahahahahaa yaani weeweee.....

Muwasho wa mwendo kasi ndo mpango mzima, mbuzi mie alikuwa hanikolei utamu aahahahahahaaa kwaheriiiii....

Ila asante kwa elimu ya kukata muwasho.

Gracias.

Mbuzi gani hakukolei! Mbuzi kagoma au mbuzi wa kibao cha mbuzi!!!?
 
Wakongwe hatuwezi kuingizwa chaka kirahisi... ngoja kwanza nisome katikati ya mistari ili nijue hii pilipili inayozungimziwa hapa ni ile ya shambani au ya chumbani

Will be right back...


Ahahahaaaaa babuuu usifanye ajizi, nimekumisiii.....

Halafu leo nna hamu ya kula chipthi yai.... mida ya saa kumi hivi jioni...
 
Ahahahahahaaaaaaa looh sina hamu, kamasi zinanitoka tu hapa kwa kuwashwa.... Ila taamuuu...

Uzur wa huku hamu unapandishwa halafu zinatolewa baada ya kuangusha kamasi!! Ieleweke ni kamasi na sio kumasi kule kwetu ghana.

Utamu unakuwepo kati ya kupandishwa hamu na kutolewa zoote!!
 
Uzur wa huku hamu unapandishwa halafu zinatolewa baada ya kuangusha kamasi!! Ieleweke ni kamasi na sio kumasi kule kwetu ghana.

Utamu unakuwepo kati ya kupandishwa hamu na kutolewa zoote!!


Mareale twende tukale pre lunch.....

Ahahahahaaaaaaa.
 
Tangulia bibie..
naja kwa nyuma!!

Niko kwa nyuma nakusindikiza kwa macho! Nipate wasaa wa kumeza mate ya uchu wa msosi tarajiwa! Sintakuwa na haja ya kungoja ugeuke tena.


Seeengeeehhh weeeh aahhahahahaahahahahhahaaaaaaaaaaaa

Niko sirias ujue...
 
Ama kwa hakika wish nikuone uso kwa uso

Sent using Jamii Forums mobile app


Sema SUUU..... Halafu angalia avatar yangu mara 6 kisha ita Kasinde mara tatu na ubusu hewani mara moja ntatokea hapo hapo ulipo...

Ukiniona utachotakiwa kufanya ni kutabasamu tuu, usizungumze, usinisemeshe, usitingishike wala usiniguse hata nikikusemesha au kukuita au kukutekenya aahahahahahahaaaa
Cheers.
 

[emoji23]🤣🤣
 
Na kama una ngozi teke, inawasha hata kwenye viganja na vidole, sembuse ukijipaka bahati mbaya kunakoo...

Wale waliowahi kupata ajali ya pilipili kuingia jichoni wanaelewa walau aina ya muwasho ulioko maeneo pendwa....
Kipindi nime vunja ungo nilikuwa natamani kuwa na matiti makubwa, nikasikia wanafunzi wakisema ukiyapaka pilipili yanakua haraka haraka, nyumbani kulikuwa na mpilipili nikachuma nikakata vipande vidogo dogo nikavua nguo nikapaka
Matiti yangu ili yawe makubwa ......nilipomaliza nikasemaje embu nipake na huku chini nione kutakuwaje nilikuwa nujua pili pili inawasha mdomoni tu we we we we we nilivyopakaaa ni siri yangu ya kilicho nikutaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuuuh hayo mashart mbona ya moto sana bibie kasie mwenye yake Matata ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Aahahahahahhaaaa utoto raha sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…