Pima uwezo wako wa kufikiria hapa>>>>>>>>>>>


Huyo mwalimu atakuwa ni gfsonwin u,kama siye basi ni snowhite
 
Last edited by a moderator:
Wajukuu wana mambo hawa, haya wacha tuwafafanulie
Hiyo siku ni Jumaatano-
1. Laiti jana ingekuwa kesho maana yake kama Jumaane kuwa Alhamis;
2. Leo (Jumaatano alipotamka) ingekuwa Ijumaa (siku baada ya Alhamis)
Haya mjukuu wangu Saudari funga huu mjadala, likiletwa tena hili kwenye hiyo NECTA yenu ya mwaka sitarajii upate Zero tena kama ile ya mwaka jana

References:
1. Backouse I&II (Conditional Probability theorem)
2. Engineering Mathematics (quantum theory
3. Michael Todaro (Human thoughts capacity theory)
4. Njama/Willy Gamba(kibegabega principle)
6. Fukuyama F, (The End of History-funga mjadala wako)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…