Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,540
Habari zenu Wana JF, naamini wote ni wazima wa afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye swali langu la leo.
----------------------------------------------------------------
Mwalimu alisema "Laiti Jana ingekuwa Kesho, Leo ingekuwa Ijumaa".
Je Mwalimu aliyasema hayo siku gani?
----------------------------------------------------------------
Nategemea Jibu kutoka kwenu.
Asanteni.
Huyo mwalimu atakuwa ni gfsonwin u,kama siye basi ni snowhite
Last edited by a moderator: