pin code kwenye simu....

hahaha mpwa kwema kabisa......duh....hii SEACOM fever naona imeathiri wapwa wengi hapa hawaonekani

hahaha...usalule iko juu mpwa......sasa wa mchangani anataka kupekua simu tena ama ndo kapewa kidoela anataka mkono mzima?

Hahahaha kweli mpwa, watu wengi wamekubwa na dhoruba ya SEACOM
Huyu bana niliamua kumpotezea maana alitaka kunitawala.
 
hamna problem na pincode..ya kwangu tangu zamani ina pincode and he's free to use it, hata anaijua pincode yenyewe. sina cha kuficha am just meking use of technology ahahahahha
 
Pin code ni muhimu sana ili kulinda mahusiano yenu, simu ya mkononi ni kitu VERY PRIVATE, kuna watu wengine hawajui mipaka ya simu ya mkononi, sasa utakuta mwingine anashika cmu ya mwenzie badala ya kufanya ya kwake anaanza kumpekua mtu mwanzo mwisho! Kwa kweli mi nadhani pincode ni nzuri na husaidia kupunguza umbea!
 
Privacy yanini ndani ya ndoa...sasa mtaanza hata kufichana maumbile eti privacy.

ONCE IN MARRIAGE, THERE IS NO MORE PRIVACY. PERIOD.

Privacy utaipata kama wewe ni barchelor au sister du...basi!!
 
Kwa uelewa wangu, PIN code haimzuii mtu kuangalia simu yako ila inailinda SIM card unapowasha simu. Mtumiaji lazima awe na PIN code ili SIM card ifanye kazi. Ninachofikiri hapa ni Security code, ambayo inamzuia mtu asiye na security code ku access info kwenye simu.

Kwa mtazamo wangu, kila mahusiano yanapaswa kuna na mipaka ya uhuru wa wanandoa, na hakuna standards za privacy kati ya wanandoa. Na siyo lazima kila aliyeweka security code ana affair nje ya ndoa. Mimi nafahamu familia moja ambayo baada ya kugombana mume na mke, yule mke alitaka kutangaza njia za ziada anazopata fedha mume wake kutokana na SMS alizosoma kwenye simu yake. So unapokuwa kwenye ndoa, unajua mwenzi wako uwezo wa kukaa na jambo na ndipo unafanya uamuzi wa kuweka au kutoweka security code. Na tusisahau baadhi ya simu za makampuni ( especially blackberry) zina policy zinalazimisha kuweka password kwenye device zao.
 
Mi sigusigusi simu yake, nadhani itakuwa salama sana kama naye hatagusagusa ya kwangu!..Tunafanya kazi sehem tofauti, na tuna mahusiano tofauti!..so amefanya vizuri tu, na usione soo!
 
kuna wanawake wengine hawawapi waume zao password ya email zake ............


sasa nafikiri wanaume wao wamekuja na style ya pincode ya simu πŸ™‚
 
kuna wanawake wengine hawawapi waume zao password ya email zake ............


sasa nafikiri wanaume wao wamekuja na style ya pincode ya simu πŸ™‚

hahahahah hehehehehe kichekesho
 
....Ndo dawa ya wazinzi, wao wanakuwa na wasiwasi kwa sababu wao wanajijua wanafanya ninii...! Najua dem mmoja ambaye yy analala na cmu na kwenda nayo hadi ******, bafuni. Mmewe wala hajawahi kumuuliza, na huwa anaacha simu yake ovyo ovyo bila kujali...ila alishagundua kuwa mke anapekenyua sana simu na kurecord namba, na akiwa kazini hutumia jamaa zake wa kiume kupiga namba hizo ili kujua ni akina nani..

Mme alipojua, basi akaamua kumkomesha kwa kuomba colleagues wake wawe wanamtumia message za luv, na kuonyesha kama kuna uhusiano...basi mke akaanza kiburi na majivuno akijua amefumania hadi siku alipokuja kugundua kuwa ilikuwa mchezo....!
 
kuna wanawake wengine hawawapi waume zao password ya email zake ............


sasa nafikiri wanaume wao wamekuja na style ya pincode ya simu πŸ™‚
kwanini nimpe password ya email? I think its a big deal mie simpi mtu no password... my mobile and Blackberry all have pin codes... no one is allowed to touch 'em..everyone need privacy bana...
 
Mimi bwana ushauri wangu ni kwamba, usimpe mtu sababu ya kukufikiria vibaya, Pincodes etc etc

Cha muhimu ni kuelewana kuhusu mahusiano yenu pia kuwa na certain rules on your relationship

Huwezi amini mimi na mwenzi wangu tumeweza kulidhibiti hili kiasi cha kwamba hata simu ya mwenzio akiita hayupo, hupokei na pia kama yupo
basi wampelekea umeigeuza display yaangalia chini

Tusiwe na tabia ya kuwa soo negative kila wakati kila wakati, its not good for Us

NAMALIZIA: simu yangu ina pincode ndiyo,... lakini ni ile ya wakati wa kuwasha tuu, baada ya hapo, you can navigate popote ndani ya simu

Ni maoni yangu tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…