Inasikitisha na kuchefua sana. Hii ni uthibitisho kuwa hata Pinda hajui maana na umuhimu wa Bunge?
Kwa jinsi Igunga mjini palivyo, ukilinganisha eti utajiri wa RA....mhhhhhhhh!!!!!!
Bora awe mbunge wa Ikulu, wa kuteuliwa na jamaa yake na si mwakilishi direct wa watu.
Kwa nchi inayotawaliwa na UWT usishangae huyu alikuwa mwanamtandao mzuri tuSerikali alioiweka madarakani RA ndio iliomteua Pinda kuwa WM. Na huenda Pinda alikuwa mwanamtandao wa kimyakimya kama tulivyokuwa wengi! Na sasa Pinda ndio ameanza kuwa mwanasiasa wa Tz. Unafiki kidogo, uongo kidogo, kuuma na kupuliza,........
Kazi kweli kweli. Umenichekesha sana. Nadhani hapa alikuwa anatoa ujumbe kwa wanaombeza boss wake pale Igunga na watanzania wanaompinga RAPinda dole lake alivyoliweka kikwetu ni tusi zito sana!!
Waamuzi ni wananchi wa igunga si vinginevyo pia waziri mkuu hajakosea kwani wasimpime mtu kwa maneno na shutuma za bunge bali amewafanyia nini kwa kipindi chote alipokuwa anawawakilisha na pia si kwa RA tu bali majimbo yote wananchi wawapime wabunge wao kwa yaliwaliofanya kutoka na ahadi walizotoa wakati wanaomba ridhaa ya kuwawakilisha.
Bravo pinda bravo ccm
Hata hivyo hakujibu ombi la wananchi hao la kumwomba mbunge huyo kubaki jimboni humo. Pinda juzi mara baada ya kuwasili mjini hapa alizungumza na watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Igunga na kuwaomba kutomkataa mbunge huyo.
I told u guys, Nchi hii inaendeshwa na Rostam, hakuna cha Raisi wala Waziri Mkulu Period!. Thats why he is above the law! Shame on them!
Sunday Feb 21, 2010
PRIME Minister Mizengo Pinda (left) gets some briefing from Igunga MP, Rostam Aziz today on the Mwamapuli pound which is used for irrigating farms in Igunga District Tabora Region, where the Premier is on official tour. (Photo by PMO)
Pinda dole lake alivyoliweka kikwetu ni tusi zito sana!!