TzPride
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 2,616
- 1,169
Huyu naye njaa tu! ati mtoto wa mkulima....@#@#@#...aliingia masikini atatoka tajiri la kutupwa...wait and see...Mkapa style.....Mr. Clean, na tume ya Warioba chapchap...mmmh...alitoka kaoza! Fisadi la kutupwa!....Ndio maana mimi nasema, watz sasa kila mmoja ni fisadi mtarajiwa....ni nafasi tu mtu anaharibu mda mfupi. Aibu kwako Wazuri mkuu kutumia ziara ya kiserikali kumfasafisha mwanasiasa aliyeoza!