mnyawudesi
Member
- Jun 21, 2015
- 11
- 2
Haya yamejili Leo alipokuwa akiongea na wajumbe waliofika Dodoma Leo. Amehudhunishwa na hali ya Chuo hicho kuwa chini ya kiwango, ameonyesha kutolizika kabisa na kiwango cha elimu kitilewacho na Chuo hiki. Amesema wapo kwakutafuta fedha. Na wanaendesha kijanja. Kamati ya wanafunzi wahanga wamefika Dodoma kuonana na kamati ya bunge kesho