Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Geophrey Pinda amesema ataunda timu ya wataalamu kufanya utafiti kuwabaini wamiliki wa mashamba ikiwa ni jitihada za kutatua migogoro ya ardhi wilayani Kiteto pamoja na mgogoro wa mpaka kati ya wilaya hiyo na Wilaya ya Chemba.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Naibu Waziri Pinda ameyasema hayo Februari 15, 2024 wakati akizungumza na umati wa wananchi wa wilaya hizo mbili katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Ndareta na kuhudhuriwa na Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Kiteto ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya, Remidius Mwema.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Naibu Waziri Pinda ameyasema hayo Februari 15, 2024 wakati akizungumza na umati wa wananchi wa wilaya hizo mbili katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Ndareta na kuhudhuriwa na Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Kiteto ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya, Remidius Mwema.