Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,485
Sheria za kimataifa mpaka kwa kwenye maji kawaida unapita 12 kilometers from the land (kama inawezekana) au katikati ya hayo maji. Inasemekana Nyerere aliwahi waambia hao akina Kamuzu kuwa kama mpaka upo kandokando ya ziwa Nyasa basi wayazuie maji yao kugusa nchi yake! Sarcastic statement showing the absurdity of the Malawian claim.
Watu wote wa Mbamba Bay, Liuli, Matema Beach, Manda, etc wakiingia tuu kwenye maji wamevuka mpaka! Absurd, if you ask me.
Hizi kauli za Mwalimu ni nzuri kuliko uzuri wenyewe na ndio maana wakati wake hatukuwa tukisikia habari hizo za mpaka. angalia sasa hata wahindi wanatutengenezea ramani zinazoonyesha kuwa Ziwa Nyasa lote lipo Malawi na bado tunawaacha tu. Huu ni uzandiki na mahala pao ni AIDHA Ikwao India au Ukonga