Pinda: Serikali imepwaya

CCM jamani ndo TATIZO NA CHANZO CHA UMASKINI WETU..Period.
 
hata kama ukweli anauona kwake ni ngumu mno kuchukua action kwa sababu nchi haipo mikononi mwao, nchi wamesha kabidhi kwa mafisadi kwa hiyo kuwanyanganya WAZIRI HUYO MKUU ANAKWAMBIA NCHI ITAYUMBA
 
Kama hao watu hawafai kwanini bado wako madarakani na nyinyi mnapigia kelele kwenye vibuyu tu ???
 

1.Hatua ya kwanza katika kulitatua tatizo ni kulielewa na kuliainisha, kwa hiyo kujua kwamba Pinda ni sehemu ya tatizo na wala si sehemu ya ufumbuzi wa tatizo ni hatua ya kwanza katika ufumbuzi wa tatizo.

2. Siyo lazima tuwe na ufumbuzi ili kuonyesha matatizo, tuna haki na wajibu wa kuonyesha matatizo hata kama hatuna ufumbuzi.Moja kati ya madhumuni ya bodi hii ni kupata ufumbuzi wa matatizo kwa mijadala, kuonyesha matatizo ni sehemu ya mjadala huu.

3.Wewe mwenyewe unasema watu hawatoi ufumbuzi na wanalalamika, lakini umeishia kukimbia na kusema utatoa ufumbuzi next time, sasa wewe una tofauti gani na hao unaowasema? Kama ni muhimu sana utoe ufumbuzi kwa kila tatizo unaloliona ili uweze kusema kwa nini hukusubiri mpaka uje na ufumbuzi ndipo uongelee matatizo haya?
 

wee unataka uambiwe mara ngp juu ya intelligence ya jk?? ina maana wewe ulikuwa hujui kama ni yeye ni bomu kwa selection ya wasaidizi wake hadi baada ya kumteua pinda??

Basi hata wewe ni bomu! hata uelezwe vp huwezi elewa, kama ulishindwa elewa uwezo wa jk kuteua viongozi hadi alipomteua pinda! bora unyamaze tu!!
 
Chama cha mapinduzi kimeshindwa kuijipindua ingawa pinda anakipindisha
 
du

samahan. kama kiongoz wa likampuni akisema kampun haiendi sawa hii si sawa na kusema yeye kashindwa kaz?

say Pinda akisema "Serikali imepwaya" hii si sawa na kusema "kaz imenishinda"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…