Wasiwasi wangu ni kama hayo yote mnayasema kwa uchungu au to make the people just read it.
I'm serious kwa sababu naona huwa ni kulaumu lakini sijaona mtu anakuja na ufumbuzi, ni kulaumu na kuagiza. It doenst come in my sense. What I'm expecting from you guyz is a solution. Dont bring the problem/blaim without a solution. La sivyo utapata ziro, yaani utatoka kapa kwani yote mnayosema yapo siku nyingi. Na hizi hadithi za kama angekuwepo Mwl ni ukasuku, wale vijana njooni na mawazo mapya, achana na ya Mwl ilikuwa enzi zake ,tumkumbuke sawa wakati tuna mawazo yetu. Nkrumah, Mwl., na wengine walikuwa na yao, nahisi kama wangekuwa vijana sasa wangekuwa na mawazo mengine mazuri zaidi, sio yale ya enzi zao, lakini naona vijana wanayo ya wazee hao(Mola aweweke mahali pema peopni), ngojeni niwaulizeni swali kama wasingekuwepo hao wazee tungebaki mbumbumbu hatuna la kusema?. Tuna tatizo la fikra ndio maana hatuna jipya. Tunasubiri mtu aseme ndio tuwe na la kuongea, ni udhaifu mkubwa, udhaifu wa kufikiri lakini pia uwezo hafifu wa kuona mbali.Tunadhani hapo tulipo ndipo tunabidi tukae,sogea angalau kidogo basi!
Anza ukurasa mpya ,acha ukasuku.
Sasa hivi siwezi angalau kumnukuu kijana maana kila kijana ananukuu, ni uzembe wa akili zetu tukubali lakini naomba tuache ukasuku.
Jaribu kidogo kubadirika, dont try hard but the best.
Next time I'll come with a solution,
Nawapongez jambo forum nina ushauri kidogo" toa mwongozo mpya" yameandikwa yale yale mengi lakini hakuna ufumbuzi unaotolewa bila jazba wala karaha. Kwa mfano mtu anapotoa ushauri wa wapinzani kuingoa CCM atoe maelezo basi kwamba hao watakapoingia ana uhakika kuwa hawatakuwa wezi kuliko hawa waliopo, au atwambie tu kwa ufupi kwamba tujaribu