Pinga matumizi ya Madawa ya Kulevya nchini

lugoda12

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
276
Reaction score
574
Maadhimisho ya Kitaifa ya kupinga dawa za kulevya yanaadhimishwa leo tarehe 30/6/2024 katika kiwanja cha Nyamagana Mwanza.

Kauli Mbiu ni Wekeza kwenye Kinga na Tiba dhidi ya dawa za kulevya.

 
NAPINGA UTUMIAJI WA MADAWA YA KULEVYA. NAAMURU MARA MOJA WATU WAACHE KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA NA WAJIKITE ZAIDI KWENYE UVUTAJI WA BANGI NA SIGARA KUIMARISHA AFYA ZAO ILI WAISHI MAISHA MAREFU NA YENYE AFYA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…