Hivi hawa watu wanafikiria hii nchi ni ya kwao peke yao? mgombea ni mgombea wa Taifa zima, chama ni chama cha taifa zima lakini wanagonga mihuri ya siri ati ni confidential.. screw 'em!
Hivi wewe una akili kweli watu hapa wanajadili sheria zimekwendaje wewe umekazana kombora limedakwa limemezwa sasa unataka kutuambia litamtokea mata koni, kwenda zako, unamwazo ya kidaku daku tukutane kwenye thread zako za udaku tukuonyeshe kazi.kombora limedakwa na kumezwa
Na wewe tukujuze ili iwejejamani mnataka mjue ili iweje?
maana walalamikaji Chadema nakala ya maamuzu wanayo kama hawajaridhika waende kortini
mnyika anataka kutuambia haruhusiwi kutoa hadhsrani maamuzi kwakuwa katumiwa kwa barua? nijuzeni
kinacho mshinda mnyika kutoa hadharani hayo maamuzi na kusema ni siriNa wewe tukujuze ili iweje
Kwa hiyo ndiyo unafikiri nani ataathirika ukisusa.kinacho mshinda mnyika kutoa hadharani hayo maamuzi na kusema ni siri
kama mnaona mtaadhirika kaeni kimya milele
Sasa kilichobakia kwa Dr Slaa kufanya ni ku-fire from all cylinders! Yale mabomu yamebakia mangapi vile? Tena awe ana-squeeze hiyo trigger systematically -- yaani kabla moja halijatulia, atoe jingine -- aya-distribute evenly hadi October 31!
Nasema strategy hii ita-work effectively kwa sababu hilo moja la Jangwani tumeona reaction yake -- how sweet it was! Hapo ndiyo wajue faida ya kuwaibia wananchi!
Mkuu sijasusa namaanisha chadema maamuzi kutoka kwa msajili wanayo na ccm wanayo, na mnajua kuwa sheria haimlazimishi kama sio kumkataza msajili kutao hadharani kama mnavyotaka, lakini mnatumia mwanya huo kumtaka aeleze hadharaniKwa hiyo ndiyo unafikiri nani ataathirika ukisusa.
mabomu yapi? yaku kataa ubalozi na hela hadi iwepo saini ya yesu, kama kweli anampenda huyo yesu alie dai aione saini yake ,ange msaliti na kuvunja kiaopo cha milele alichoingia naye kuwa padri na bado akaukachaSasa kilichobakia kwa Dr Slaa kufanya ni ku-fire from all cylinders! Yale mabomu yamebakia mangapi vile? Tena awe ana-squeeze hiyo trigger systematically -- yaani kabla moja halijatulia, atoe jingine -- aya-distribute evenly hadi October 31!
Nasema strategy hii ita-work effectively kwa sababu hilo moja la Jangwani tumeona reaction yake -- how sweet it was! Hapo ndiyo wajue faida ya kuwaibia wananchi!
Speaking Openly, without fear!Walishasema ushindi kwa CCM 2010 ni lazima. Hivyo LAZIMA washinde. Msitarajie muujiza wa Masihi kushuka na kuja kuwashikisha adabu!
Wewe unakijua hata kinachoendelea tumia bongo kufikiri usitumie makalio.acha litupwe Sababu ni kwamba halina maana! eti wameweka pingamizi kisa wa TZ wameogezewa mishahara! :becky: what a joke!
kinacho mshinda mnyika kutoa hadharani hayo maamuzi na kusema ni siri
kama mnaona mtaadhirika kaeni kimya milele
Zungumzia topic iliyopo usiende off tutanzisha ligi sasa hivi nyambafmabomu yapi? yaku kataa ubalozi na hela hadi iwepo saini ya yesu, kama kweli anampenda huyo yesu alie dai aione saini yake ,ange msaliti na kuvunja kiaopo cha milele alichoingia naye kuwa padri na bado akaukacha
hata mtoto humuingizi kwa uongo huu
acha litupwe Sababu ni kwamba halina maana! eti wameweka pingamizi kisa wa TZ wameogezewa mishahara! :becky: what a joke!
Ndiyo maana huyo nimemwambia atumie bongo kufikiri anadhani hela za serikari ni za kuchukua kama anakwenda kununua maparachichi, hajui kuna bajeti pale imechotwa inawezekana kachukua bajeti ya kununulia dawa za kina mama wanaojifungua mhimbili yeye hilo hajui.Hujui kitu kinaitwa 'rule of the law'. Nikupe scenario hii labda utaielewa though i am not sure. Watoto wangu wananililia njaa, naenda kuiba kuku wa jirani ili wasife njaa. Looks like a good thing eh?