Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,750
Hio ndio CCM , hizo za chadema ni kelele za mlango tu , CHADEMA wanazidi kuporomoka sasa subirini hilo la Showbiz kila mpitapo mwaonyesha mke mpya ,aloo yaani limepangwa bonge la zari na Slaa hatoki yaani anaonyweshwa kama CCM ndie kiranja wa faulo.