kinacho mshinda mnyika kutoa hadharani hayo maamuzi na kusema ni siri
kama mnaona mtaadhirika kaeni kimya milele
Wewe unawazia english medium wengine hata hilo darasa la chini ya mti hawana, kama Kikwete kaiba kwenye bajeti ya elimu kulipa mishahara, sasa huyu mtoto wako akifika na kukosa dawati na vitabu na mwalimu atafanyaje au utampeleka tuiton jaribuni kuwa na upeo mrefu wa fikra usiishie kwenye urefu wa pua.Asante Tendwa nilikuwa naiwazia hiyo nyongeza mpaka basi, na bajeti nilishaipangia, now am very happy kumbe mwanangu anaweza kusoma english medium mwakani, yalah.... but my kura i reserve to no body.
Well said, watu wanafikiri ni kitu kidogo kinachoendelea lakini ni kikubwa sana mambo ya Kenya yalianza hivi hivi kwa msajili kuchezea katiba. Kwa wanaoona mbele hii move ni ya ukombozi hata kama sio leo lakini historia imeandikwa haitafutika milele lakini kwa wanaoona kesho watafurahia eti wameongezwa mishahara hawajui kesho na kesho kutwa rais anaweza kuitumia hiyo hiyo sheria kufuta nyongeza bila idhini ya bunge.Huu uamuzi imebidi uchukuliwe kutokana na dharura wanayoiona mbele yao, but this is going down into the books of history for generations to see. Ni moja kati ya vitu ambavyo vitamfanya Kikwete aonekane ni one of the worst performing president Tanzania has ever seen.
Hongera CHADEMA, your smartness inaendelea kuwaforce CCM kufanya makosa ambayo wasingependa kuyafanya. Kwanza mlianza na kumpata mgombea ambae amesababisha Kikwete avunje sheria aliyoisaini mwenyewe mbele ya mabalozi kwa kuongeza mshahara kinyemela. Lakini pia mmeifanya tume ya uchaguzi wafanye kosa lingine la kupindisha maamuzi baada ya kukata rufaa. That shows how clever you guys are, haya ni mapambano dhidi ya MAFIA soon nchi nzima itajua kuwa kumbe tumelipa nchi kundi la watu ambao wanatumia chama cha siasa kama kichaka cha kutumaliza. Hii vita haitaisha, believe me and well done CHADEMA!!!
Mi huwa najiuliza hivi watu kama Tendwa huwa dhamira zao haziwasuti kweli,wanapokuwa chumbani peke yao huwa hawafikirii kuwa wanayoyafanya ni makosa ambayo hayatafutika vizazi na vizazi,ni kweli hawana ujasiri wa kuifuata sheria bila kujali nini kitawatokea wao na familia zao?Au ndo hivyo wana madudu ambayo waliyafanya na utawala uliop unawalinda?
Wewe unakijua hata kinachoendelea tumia bongo kufikiri usitumie makalio.
Ndiyo maana huyo nimemwambia atumie bongo kufikiri anadhani hela za serikari ni za kuchukua kama anakwenda kununua maparachichi, hajui kuna bajeti pale imechotwa inawezekana kachukua bajeti ya kununulia dawa za kina mama wanaojifungua mhimbili yeye hilo hajui.
Pale hakuna jipya, pingamizi litatupwa na ambaye hakuridhika ataambiwa aende mahakamani!! Nilipopata habari kuwa Chadema wamewailisha pingamizi kwa JK, nilijiuliza mara mbili, je ni hapa hapa Tanzania au mwamuzi atatoka nje ya Tanzania. There is no fair politics in Tanzania, given the fact that the appointees of crucial authoritative positions are held by the persons appointed by the president of the rulling party!! Hapo itakuwa tofauti kama pengine ingekuwa ni nchi za wenzetu. Poor chadema!! Yaani hata kama makosa yangekuwa yanang'aa kama almasi lakini hayataonekana!! But the vice versa is the case!
Tendwa hakumbuki yaliyotokea kenya mwaka juzi wakati wasimamizi walivyokuwa wanachakachua matokeo ili kibaki ashinde. Tendwa kasahau kabisa kuwa kufanya kivyo analimbikiza hasiraa za watu na umma utamhukumu huyu mzee, atamaliza maisha vibaya. It was fair and would be more respectable kama angetokea mbele ya vyombo vya habari kufafanua hiyo kauli siyo kwa style ya kibabe.
Hata kama yuko busy na mikutano mingine sioni kama kuna inshu muhimu kama hii, anajipunguzia mwenyewe heshima na imani kwa watanzania. Ukweli ni kuwa sababu za kutokuwa na imani naye zinazidi kuongezeka hata kama pingamizi kalitupaa, but kaahidi toka wiki jana kuwa anatoa majibu ndani ya siku hizo alizotaja, iweje leo anatutukana kwa kutoa majibu kwa style ya jeuri? hata kama ndo taratibu lakini yafaa watoe ufafanuzi basi wa kutueleza wananchi kuwa kutokana na taratibu zetu za kiofisi, majibu yetu yametolewa siyo kama hivi alivyofanya. TENDWA, WHY ARE YOU DOING THIS? UNAFANYA KAZI KWA AJILI YA WATANZANIA SIYO KWA MANUFAA YA WACHACHE, Usiharibu uchaguzi watu wakauana bure kwa sababu za busara kidogo hazijatumika. Unakula kodi zetu kwa kuendesha hizo seminar, nk. hukumbuki kabisaaaa. Anyway, kuna mwisho wake.
Yaani wewe post ya kwanza unaanza na kuomba updates kuna mtu humu ulimtuma be serious mpigie simu Tendwa atakuwa nazo
Ringmaster
Join Date Mon Sep 2010
Posts 1
Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power 0
Leo kutakuwa na press conference Makao Makuu ya CHADEMA. Pamoja na mambo mengine wanasheria wetu watatoa reaction ya CHADEMA juu ya maamuzi ya Tendwa. Cha kuchekesha kuliko vyote katika 'hukumu' ya Tendwa ni kukana kwamba serikali, kufuatia matamshi ya JK, haijaongeza mshahara katika kipindi hiki cha kampeni na baada ya bunge kumaliza kikao chake. Haya ni maelezo ambayo CCM watayajutia kisiasa kwa sababu inamaanisha kwamba walikuwa wanawadanganya wafanyakazi kwamba mshahara umeongezwa kutoka Sh 135,000 hadi 265,000! Tunaunganisha data kamili na tutawaletea wananchi waamue wenyewe. Lakini kilicho wazi mwaka huu ni kwamba hatimaye uongo utajitenga na ukweli!
Leo kutakuwa na press conference Makao Makuu ya CHADEMA. Pamoja na mambo mengine wanasheria wetu watatoa reaction ya CHADEMA juu ya maamuzi ya Tendwa. Cha kuchekesha kuliko vyote katika 'hukumu' ya Tendwa ni kukana kwamba serikali, kufuatia matamshi ya JK, haijaongeza mshahara katika kipindi hiki cha kampeni na baada ya bunge kumaliza kikao chake. Haya ni maelezo ambayo CCM watayajutia kisiasa kwa sababu inamaanisha kwamba walikuwa wanawadanganya wafanyakazi kwamba mshahara umeongezwa kutoka Sh 135,000 hadi 265,000! Tunaunganisha data kamili na tutawaletea wananchi waamue wenyewe. Lakini kilicho wazi mwaka huu ni kwamba hatimaye uongo utajitenga na ukweli!
Leo kutakuwa na press conference Makao Makuu ya CHADEMA. Pamoja na mambo mengine wanasheria wetu watatoa reaction ya CHADEMA juu ya maamuzi ya Tendwa. Cha kuchekesha kuliko vyote katika 'hukumu' ya Tendwa ni kukana kwamba serikali, kufuatia matamshi ya JK, haijaongeza mshahara katika kipindi hiki cha kampeni na baada ya bunge kumaliza kikao chake. Haya ni maelezo ambayo CCM watayajutia kisiasa kwa sababu inamaanisha kwamba walikuwa wanawadanganya wafanyakazi kwamba mshahara umeongezwa kutoka Sh 135,000 hadi 265,000! Tunaunganisha data kamili na tutawaletea wananchi waamue wenyewe. Lakini kilicho wazi mwaka huu ni kwamba hatimaye uongo utajitenga na ukweli!
Leo kutakuwa na press conference Makao Makuu ya CHADEMA. Pamoja na mambo mengine wanasheria wetu watatoa reaction ya CHADEMA juu ya maamuzi ya Tendwa. Cha kuchekesha kuliko vyote katika 'hukumu' ya Tendwa ni kukana kwamba serikali, kufuatia matamshi ya JK, haijaongeza mshahara katika kipindi hiki cha kampeni na baada ya bunge kumaliza kikao chake. Haya ni maelezo ambayo CCM watayajutia kisiasa kwa sababu inamaanisha kwamba walikuwa wanawadanganya wafanyakazi kwamba mshahara umeongezwa kutoka Sh 135,000 hadi 265,000! Tunaunganisha data kamili na tutawaletea wananchi waamue wenyewe. Lakini kilicho wazi mwaka huu ni kwamba hatimaye uongo utajitenga na ukweli!