Tendwa hakumbuki yaliyotokea kenya mwaka juzi wakati wasimamizi walivyokuwa wanachakachua matokeo ili kibaki ashinde. Tendwa kasahau kabisa kuwa kufanya kivyo analimbikiza hasiraa za watu na umma utamhukumu huyu mzee, atamaliza maisha vibaya. It was fair and would be more respectable kama angetokea mbele ya vyombo vya habari kufafanua hiyo kauli siyo kwa style ya kibabe.
Hata kama yuko busy na mikutano mingine sioni kama kuna inshu muhimu kama hii, anajipunguzia mwenyewe heshima na imani kwa watanzania. Ukweli ni kuwa sababu za kutokuwa na imani naye zinazidi kuongezeka hata kama pingamizi kalitupaa, but kaahidi toka wiki jana kuwa anatoa majibu ndani ya siku hizo alizotaja, iweje leo anatutukana kwa kutoa majibu kwa style ya jeuri? hata kama ndo taratibu lakini yafaa watoe ufafanuzi basi wa kutueleza wananchi kuwa kutokana na taratibu zetu za kiofisi, majibu yetu yametolewa siyo kama hivi alivyofanya. TENDWA, WHY ARE YOU DOING THIS? UNAFANYA KAZI KWA AJILI YA WATANZANIA SIYO KWA MANUFAA YA WACHACHE, Usiharibu uchaguzi watu wakauana bure kwa sababu za busara kidogo hazijatumika. Unakula kodi zetu kwa kuendesha hizo seminar, nk. hukumbuki kabisaaaa. Anyway, kuna mwisho wake.