eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Muda mfupi kabla ya kufungwa kwa nafasi ya kuwasilisha pingamizi dhidi ya ushindi wa Uhuru Kenyatta, wapinzani wamewasilisha pingamizi hilo mahakamani.
yanayojitokeza:
1. Uchaguzi huu ulikuwa na mapungufu ya wazi, je si dhahiri kuwa utafutwa na Kenya kuingia kwenye uchaguzi mwingine?
2. Gharama za uchaguzi hazitaelemea nchi?
3. Je kipengele cha kuruhusu kuhoji ushindi wa urais kinapaswa kifikiriwe upya?
Wajumbe maswali ni mengi mno. Karibuni kutoa maoni.
yanayojitokeza:
1. Uchaguzi huu ulikuwa na mapungufu ya wazi, je si dhahiri kuwa utafutwa na Kenya kuingia kwenye uchaguzi mwingine?
2. Gharama za uchaguzi hazitaelemea nchi?
3. Je kipengele cha kuruhusu kuhoji ushindi wa urais kinapaswa kifikiriwe upya?
Wajumbe maswali ni mengi mno. Karibuni kutoa maoni.