Pingamizi lingine lawasilishwa dhidi ya ushindi wa Uhuru Kenyatta

Pingamizi lingine lawasilishwa dhidi ya ushindi wa Uhuru Kenyatta

Kikinuka raila huyo hutamwona, ila kina yakhe ndo wataangamia
 
We unauliza jibu, hujaona picha last sunday za kanisani wakiwa na uhuru? Wale WanaJuana ila
Niliona wanasalimiana, lakini sikuelewa kitu.
Kumbe dili zilikuwa zinapita pale. Duuu, ni shida.
 
hivi rais mteule Uhuru ataapishwa lini?
 
Muda mfupi kabla ya kufungwa kwa nafasi ya kuwasilisha pingamizi dhidi ya ushindi wa Uhuru Kenyatta, wapinzani wamewasilisha pingamizi hilo mahakamani.
yanayojitokeza:

1. Uchaguzi huu ulikuwa na mapungufu ya wazi, je si dhahiri kuwa utafutwa na Kenya kuingia kwenye uchaguzi mwingine?

2. Gharama za uchaguzi hazitaelemea nchi?

3. Je kipengele cha kuruhusu kuhoji ushindi wa urais kinapaswa kifikiriwe upya?
Wajumbe maswali ni mengi mno. Karibuni kutoa maoni.

Mtihani huu ndiyo kipimo cha jibu Usahafu wa Katiba.
Msingi wa Nchi ni Katiba ila bahati mbaya Africa Serikali ndiyo imeshikilia huo usahafu wa katiba mazingira hayo manyangau machache hutumia nafasi hiyo kujineemesha kwa jasho la wengi.
 
Hiyo ni dalili kwamba no nonsense sasa hivi huku Tanzania, hao akina Macharia, Charles Kater, Najib Balala na wengine wengi viongozi wa Kenya, wangekuwa chini ya Magufuli wasingefikisha vigezo vya kubaki kuwa katika nyadhifa zao, wengi hawana uwezo, hawajui mambo, wanadanganya wananchi hadharani na bado watu wanasherehekia, our leardership standard is set very high.

Sent from my MediaPad T1 8.0 using JamiiForums mobile app
Dictatorship and democracy in the encounter
 
Mtihani huu ndiyo kipimo cha jibu Usahafu wa Katiba.
Msingi wa Nchi ni Katiba ila bahati mbaya Africa Serikali ndiyo imeshikilia huo usahafu wa katiba mazingira hayo manyangau machache hutumia nafasi hiyo kujineemesha kwa jasho la wengi.
umenena
manyang'au yanajinufaisha
 
tetesi: kuna kila dalili za uchaguzi wa marudio kurudiwa, maana kasoro zilizoainishwa na upande uliopinga matokeo zimethibitika pasi na shaka yoyote.
stay abreast.
 
tetesi: kuna kila dalili za uchaguzi wa marudio kurudiwa, maana kasoro zilizoainishwa na upande uliopinga matokeo zimethibitika pasi na shaka yoyote.
stay abreast.
Ainisha basi hayo mapungufu hapa
 
Tunaambiwa Tanzania katiba yetu ni mbovu kisa haina kipengele cha kuhoji matokeo ya uchaguzi wa rais. Ila nadhani endapo uchaguzi wa Kenya utarudiwa tena watu watajitafakari kuhusu kelele zao za kupigania hicho kipengele. Haiwezekani nchi ikawa inapeleka tu pesa kwenye uchaguzi eti kisa watu fulani hawajaridhika na matokeo.
Hata urudiwe mara kumi poa, hii mtu anaiba kura na anashinda uchaguzi ni uhuni wa hali ya juu. Mtu ashinde bila ujanja ujanja ili aweze kuwa kiongozi.
 
Hata urudiwe mara kumi poa, hii mtu anaiba kura na anashinda uchaguzi ni uhuni wa hali ya juu. Mtu ashinde bila ujanja ujanja ili aweze kuwa kiongozi.

kukwiba lazima ikwibe kura
 
Back
Top Bottom