Tulia usituchafulie our best constitution in Africamuda mfupi kabla ya kufungwa kwa nafasi ya kuwasilisha pingamizi dhidi ya ushindi wa Uhuru Kenyatta, wapinzani wamewasilisha pingamizi hilo mahakamani.
yanayojitokeza:
1. uchaguzi huu ulikuwa na mapungufu ya wazi, je si dhahiri kuwa utafutwa na Kenya kuingia kwenye uchaguzi mwingine?
2. gharama za uchaguzi hazitaelemea nchi?
3. je kipengele cha kuruhusu kuhoji ushindi wa urais kinapaswa kifikiriwe upya?
Wajumbe maswali ni mengi mno. karibuni kutoa maoni.
hilo ni gumu kulijua. lkn Yeye huyo mkurugenzi ana wajibu wa kujua kama afisa maduhuri (accounting officer).Nina swali moja tu kwa watz wote kwenye jukwaa hili. Hivi zile fedha za road fund zilikuwa shilingi ngapi? Dah, Jembe lenu la kweli linatrend kule twitter. Tingatinga kiboko yao! Nimekubali.
Ningekuambia lakini naogopa kusema uongo. πππClassic Tanzanian reply. Huyo mkurugenzi hakuwa serious. Nimependa style ya Magufuli, kila mtu ashike adabu zake.hilo ni gumu kulijua. lkn Yeye huyo mkurugenzi ana wajibu wa kujua kama afisa maduhuri (accounting officer).
btw tuendelee na hoja iliyopo mbele yetu. haya mambo ya kupinga uchaguzi mahakamani yataisha lini?
Hiyo ni dalili kwamba no nonsense sasa hivi huku Tanzania, hao akina Macharia, Charles Kater, Najib Balala na wengine wengi viongozi wa Kenya, wangekuwa chini ya Magufuli wasingefikisha vigezo vya kubaki kuwa katika nyadhifa zao, wengi hawana uwezo, hawajui mambo, wanadanganya wananchi hadharani na bado watu wanasherehekia, our leardership standard is set very high.Nina swali moja tu kwa watz wote kwenye jukwaa hili. Hivi zile fedha za road fund zilikuwa shilingi ngapi? Dah, Jembe lenu la kweli linatrend kule twitter. Tingatinga kiboko yao! Nimekubali.
Ningekuambia lakini naogopa kusema uongo. πππClassic Tanzanian reply. Huyo mkurugenzi hakuwa serious. Nimependa style ya Magufuli, kila mtu ashike adabu zake.
Wote wafe...Mmoja afe tu aongeze samadi nchi iendelee
Wote wafe...
Maana hawana maana tena.
Ukabila ni Sumu.