Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe tupo wengiKwakweli mimi sijawahi kumwelewa zaidi ya up in the air.
Uwa naona manyota nyota tu
Kumbe nawe mkuu. Labda tuko nyuma ya muda hatuelewi aaahKumbe tupo wengi
Sijui nani alimwambia kutumia hyo staili huyo ni anacondaHuyu demu sipendi vile anavyoachama achama na kutoa ulimi nje km nyoka anataka kulamba unga
Tatizo anajikuta bonge la muhuni kumbe Hana cha uhuni wowte anafosi tu kuonekana Tom boySijui nani alimwambia kutumia hyo staili huyo ni anaconda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu demu sipendi vile anavyoachama achama na kutoa ulimi nje km nyoka anataka kulamba unga
Mrembo unapenda sn kufurahi eti😁😁
ID yako tu mkuu imenikumbusha far away...... Anyway Dem anajua huyu Kuna ngoma anakua creative kupitiliza tafuta kanyor aleng au Ile inaitwa Satan.....I find this lass a cornball. She tries too hard. Maybe I'm too old for this shit.
Kuna muhuni ambaye anapigwa pu,mbu au ana blidi kila mwezi?Tatizo anajikuta bonge la muhuni kumbe Hana cha uhuni wowte anafosi tu kuonekana Tom boy