HahahahaahaaMkuu wafuate pm uwaombe idhini yao ili kuutendea haki uzi wako
Ewaaaaaaa. TushajichaguaHao ni JF sweethearts
Basi mie pin eeeh. Yanga na ChelseaKwani wew uzuri unaangalia nin?
Mimi naweza kumuona pini tu kwakua ni yanga mwenzangu,au chelsea mwenzangu [emoji23] [emoji23]
HahahahahahaaPini.? Mmmhh kumbe kuna watu wanaitwa pini jf, watakuwa na ukaribu sana na watu wa catering...
Kwetu mnasubiri nyieHawatufikii Simba aisee
[emoji125] [emoji125] [emoji125] ndukiiMasaa 48 yanakuita mkuu
Yani wew hamna hata haja ya kuuliza ...lipo wazi kama chiu wa mnyamaa[emoji23] [emoji23]Basi mie pin eeeh. Yanga na Chelsea
Hiyo mirangi jinsi alivyo kama Yeboyebo.Huyu katajwa hapo juu...View attachment 882456
Ewaaaaa! Sahihi kabisa. Halafu ni timu yenye vilaza wengi na wachawi wengi sana. Ukitaka kuligundua hili angalia kitaani unapokaa, wazee wote wanaotajika kwa uchawi ukiuliza timu yao utajibiwa ni Yanga.Yanga ni timu ya wanawake hujui mkuu?
Pole sana mkuu,draw nayo matokeoEwaaaaa! Sahihi kabisa. Halafu ni timu yenye vilaza wengi na wachawi wengi sana. Ukitaka kuligundua hili angalia kitaani unapokaa, wazee wote wanaotajika kwa uchawi ukiuliza timu yao utajibiwa ni Yanga.
Ah! Ahsante bhana. By the way huyo Yeboyebo uliyem' post ni nani?Pole sana mkuu,draw nayo matokeo
Kumbe hizo ni PiNi,,warembo wengi hapa jukwaani wengi ni watoto wa jangwani..warembo hao ambao wanaonekana wako vizuri upstairs na ni pini kweli kweli(kwa sauti ya jiwe) huwaambi kitu mbele ya yanga wakiongozwa na mama la mama
Hajar
Mzigua90
Nifah
Thad
Numbisa
zeshchriss
Hao ni baadhi tu wengine jitokezeni tuweze kuwaandalia kadi za uwanacha
Yupo hapo kwenye list...si vyema kumtaja mkuuAh! Ahsante bhana. By the way huyo Yeboyebo uliyem' post ni nani?
VisuuKumbe hizo ni PiNi,,
Inaonekana wewe ni Yangawarembo wengi hapa jukwaani wengi ni watoto wa jangwani..warembo hao ambao wanaonekana wako vizuri upstairs na ni pini kweli kweli(kwa sauti ya jiwe) huwaambi kitu mbele ya yanga wakiongozwa na mama la mama
Hajar
Mzigua90
Nifah
Thad
Numbisa
zeshchriss
Hao ni baadhi tu wengine jitokezeni tuweze kuwaandalia kadi za uwanacha
OK gotcha. Mpe hiYupo hapo kwenye list...si vyema kumtaja mkuu
ππππ hadi weye mwanayanga mwenzangu unataka picha zetu. Duuuh.Mkuu wafuate pm uwaombe idhini yao ili kuutendea haki uzi wako
Ewaaaaa. .[emoji23][emoji23][emoji23]usijali tutawanunua hao wapinzani waunge juhudi za timu yetu
Ila we nakujua vizur Swahiba ndo maana nikaunga mkono hoja ya sie Yanga kuwazidi Mikia fc kwa kila kitu! Pokea bonge la kiss huko uliko swahiba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi weye mwanayanga mwenzangu unataka picha zetu. Duuuh.