Unajua kazi za mkuu wa wilaya? Au unaropoka ropoka tu? Mbona unakuwa mshamba kiasi hicho. Nani kakwambia mkuu wa wilaya anaweka TRA!!? Toa ushamba wako hapa.Kuna Mbuzi kama Mkuu wa wilaya Ileje wiki iliyopita amebomoa madaraja 16 kisa kuzuia magendo badala aweke TRA wakusanye kodi
Kazi yao ni nini hivi au Kufunga Bar kama yule wa Kinondoni, kule Ileje kwanini asimuige mwenzake wa Longido yuko pale NAMANGA anahakikisha TRA wanakusanya kodiUnajua kazi za mkuu wa wilaya? Au unaropoka ropoka tu? Mbona unakuwa mshamba kiasi hicho. Nani kakwambia mkuu wa wilaya anaweka TRA!!? Toa ushamba wako hapa.
Fact zipi zaidi ya TAZARA kushindwa kulipa wafanyakazi au ya Bandari kubaki na miundo mbinu ya Mkoloni, nchi inaendeshwa kama vile bado tuko kwenye vita baridi, Ni wakati wa kufanya Biashara sio kujipendekeza kwa majirani na ndio anachofanya KenyaWewe proof hapa acha kuropoka ropoka kama umemeza mkojo wa punda. Sisi tunaenda kwa facts wewe unaleta umbea. Umbea peleka kwenye jukwaa la umbea. Hapa ni facts. Sawa dogo mpumbavu!
Wewe sasa ndo unajua unachokisema ..huu ndo ukweli ..biashara kwanza ..mengine ni baadayeFact zipi zaidi ya TAZARA kushindwa kulipa wafanyakazi au ya Bandari kubaki na miundo mbinu ya Mkoloni, nchi inaendeshwa kama vile bado tuko kwenye vita baridi, Ni wakati wa kufanya Biashara sio kujipendekeza kwa majirani na ndio anachofanya Kenya
Kwikwikwikwi wewe ni toto la mama!!. Linalilia ubwabwa.Kazi yao ni nini hivi au Kufunga Bar kama yule wa Kinondoni, kule Ileje kwanini asimuige mwenzake wa Longido yuko pale NAMANGA anahakikisha TRA wanakusanya kodi
Iyo nyi mboocha maana hujibu unakumbuka Ubwabwa ndio maana nchi ya misukule hiiKwikwikwikwi wewe ni toto la mama!!. Linalilia ubwabwa.
Msukule wewe na ukoo wako. Wewe toto la mama umezoea kudekezwa. Wazazi wakikutoka utakuwa jambazi na utaishia kuchapwa risasi na kufa bila faida duniani. Heri ubadili tabia bado wazazi wapo.Iyo nyi mboocha maana hujibu unakumbuka Ubwabwa ndio maana nchi ya misukule hii
MamaakoIyo nyi mboocha maana hujibu unakumbuka Ubwabwa ndio maana nchi ya misukule hii
Rudi kwa mamako ukanyonye, akili matope zako hazikuruhusu kuchangia mada kama hizi.Fact zipi zaidi ya TAZARA kushindwa kulipa wafanyakazi au ya Bandari kubaki na miundo mbinu ya Mkoloni, nchi inaendeshwa kama vile bado tuko kwenye vita baridi, Ni wakati wa kufanya Biashara sio kujipendekeza kwa majirani na ndio anachofanya Kenya
Kuna Mbuzi kama Mkuu wa wilaya Ileje wiki iliyopita amebomoa madaraja 16 kisa kuzuia magendo badala aweke TRA wakusanye kodi
chizi,na ile 20inch pipeline baado.ikianza kusafirisha ndio baasi.ECONOMY & POLITICS
Pipeline cuts fuel transport costs in fight with Tanzania
THURSDAY, MARCH 16, 2017 19:18
BY GERALD ANDAE
Kenya Pipeline Company Limited (KPC) has cut the cost of transporting fuel to neighbouring countries by nearly a third in a bid to win back business lost to Tanzania.
Pipeline costs for products headed to Rwanda, Congo, Uganda, Burundi and South Sudan from the port of Mombasa will be $44.55 (Sh4, 579) per 1,000 litres, up from $59.32 (Sh6, 098).
This will see the importers save about Sh1.52 per litre for fuel transported on the pipeline and picked in Kisumu or Eldoret for neighbouring countries.
Countries such as Rwanda and Burundi have stepped up fuel imports through Tanzania’s main port in Dar es Salaam, arguing that Kenya’s route is expensive and experienced contamination of cargo.
Mombasa is facing increased competition from neighbouring Tanzania where the government is expanding the port of Dar es Salaam and plans to spend $10 billion building a new one at Bagamoyo, 52 kilometres (32 miles) north.
KPC managing director Joe Sang said the move to cut the cost will help the state corporation re-capture the lost regional petroleum market share.
“We have lost our market share especially in Rwanda and Burundi. We must get this rightful share back and this calls for proactive and strategic thinking. We not only want to regain the lost market, but also extend our operation into new frontiers in the region,” said Mr Sang.
The lower charges dubbed a promotional rate will start in April. The Kenya Transporters Association earlier said importers from regional countries were opting to route shipments through Tanzania because its fuel were untainted.
“Kenya’s position as the preferred petroleum importation route for landlocked East African nations is slipping out of our hands,” said the association in an earlier interview with the Bloomberg.
“It’s because importers feel our fuel is contaminated. We have unscrupulous traders. We have cases where some load transporters siphon fuel, add other products and when it gets to the destination countries, it is found to be adulterated.”
Tanzania also allows heavier loads on its roads. Importers to neighbouring countries have to use the road from Kisumu or Eldoret.
Mombasa is a gateway for imports to Rwanda, Burundi, Uganda, South Sudan, Eastern Congo and northern Tanzania and also an exit point, mainly for agricultural commodities such as tea and coffee.
While Kenya’s economy has been dominant in the region for decades, Tanzania, which is geographically bigger and holds vast quantities of gold and gas, is vying for more economic and political sway.
In addition to the new port, the country is planning a $7.6-billion railway connecting Dar es Salaam to Burundi, Rwanda, Congo and Uganda.
The link could rival Kenya’s own new rail line targeting the same countries. Construction of the first phase of Kenya line, which will connect the Mombasa port to Nairobi is almost complete and operations will start this July.
Pipeline cuts fuel transport costs in fight with Tanzania
Wakenya wamechanganyikiwa
Nabado
Usiwe unakurupuka!!Hao wanagombezana ni kaka zako, hawaelewi nchi yenu wenyewe. Kuchanganyikiwa, sijui wewe pia umechanganyika hivyo???
Chizi ukoo wako!! halafu endelea kujifurahisha wakati unapanga foleni na wenzio kusoma ninacho-postchizi,na ile 20inch pipeline baado.ikianza kusafirisha ndio baasi.
Mawazo ya Watanzania na Wakenya huwa tofauti siku zote ni kama Mfanyabiashara(Kenya) na Mfanyakazi(Tanzania).
Wao wanawaza wafanye mambo wapate faida wasonge sisi Tanzania tumebaki kusema undugu wetu na Majirani zetu tunadumisha kwa ajili ya manufaa ya baadaye ni Aibu.
Fikiria ni gari za nchi ngapi zinapita hapa bure na kuharibu barabara zetu bila kulipa roadtoll.
Malawi inatusaidia nini zaidi ya Mahouse girl waliojaa huku, Congo imetupa nini zaidi ya music ?
Kenya itabaki juu wanawaza Biashara undugu baadae
Nilimjibu kihivyo zaidii Mkuu.Hizo ulizo sikia ni hadithi za kitaa... hakuna ukweli wowote?? Wewe hukusikia ya kuwa tz ndiyo inayoongoza kwa vizuizi barabarani.
Mkikuyu wa bongi aiseee..😀wewe mkikuyu tuachie Tanzania yetu,kama haujui Malawi na Congo zinatusaidia nini kaaa kimya.