Pipeline cuts fuel transport costs in fight with Tanzania

Pipeline cuts fuel transport costs in fight with Tanzania

Kuna Mbuzi kama Mkuu wa wilaya Ileje wiki iliyopita amebomoa madaraja 16 kisa kuzuia magendo badala aweke TRA wakusanye kodi
Unajua kazi za mkuu wa wilaya? Au unaropoka ropoka tu? Mbona unakuwa mshamba kiasi hicho. Nani kakwambia mkuu wa wilaya anaweka TRA!!? Toa ushamba wako hapa.
 
Unajua kazi za mkuu wa wilaya? Au unaropoka ropoka tu? Mbona unakuwa mshamba kiasi hicho. Nani kakwambia mkuu wa wilaya anaweka TRA!!? Toa ushamba wako hapa.
Kazi yao ni nini hivi au Kufunga Bar kama yule wa Kinondoni, kule Ileje kwanini asimuige mwenzake wa Longido yuko pale NAMANGA anahakikisha TRA wanakusanya kodi
 
Wewe proof hapa acha kuropoka ropoka kama umemeza mkojo wa punda. Sisi tunaenda kwa facts wewe unaleta umbea. Umbea peleka kwenye jukwaa la umbea. Hapa ni facts. Sawa dogo mpumbavu!
Fact zipi zaidi ya TAZARA kushindwa kulipa wafanyakazi au ya Bandari kubaki na miundo mbinu ya Mkoloni, nchi inaendeshwa kama vile bado tuko kwenye vita baridi, Ni wakati wa kufanya Biashara sio kujipendekeza kwa majirani na ndio anachofanya Kenya
 
Fact zipi zaidi ya TAZARA kushindwa kulipa wafanyakazi au ya Bandari kubaki na miundo mbinu ya Mkoloni, nchi inaendeshwa kama vile bado tuko kwenye vita baridi, Ni wakati wa kufanya Biashara sio kujipendekeza kwa majirani na ndio anachofanya Kenya
Wewe sasa ndo unajua unachokisema ..huu ndo ukweli ..biashara kwanza ..mengine ni baadaye
 
Kazi yao ni nini hivi au Kufunga Bar kama yule wa Kinondoni, kule Ileje kwanini asimuige mwenzake wa Longido yuko pale NAMANGA anahakikisha TRA wanakusanya kodi
Kwikwikwikwi wewe ni toto la mama!!. Linalilia ubwabwa.
 
Iyo nyi mboocha maana hujibu unakumbuka Ubwabwa ndio maana nchi ya misukule hii
Msukule wewe na ukoo wako. Wewe toto la mama umezoea kudekezwa. Wazazi wakikutoka utakuwa jambazi na utaishia kuchapwa risasi na kufa bila faida duniani. Heri ubadili tabia bado wazazi wapo.
 
Fact zipi zaidi ya TAZARA kushindwa kulipa wafanyakazi au ya Bandari kubaki na miundo mbinu ya Mkoloni, nchi inaendeshwa kama vile bado tuko kwenye vita baridi, Ni wakati wa kufanya Biashara sio kujipendekeza kwa majirani na ndio anachofanya Kenya
Rudi kwa mamako ukanyonye, akili matope zako hazikuruhusu kuchangia mada kama hizi.

TAZARA Profit Reach USD13.5m Thanks to Improved Freight Traffic


tazara-profit-freight-traffic.gif


AUGUST 17, 2016

The Tanzania Zambia Railway Authority (TAZARA) earned USD13.5m profit in 2015–2016 thanks to improved freight traffic performance.

This was indicated in a press release issued by TAZARA on July 31 2016.

The annual freight traffic of the Tanzania-Zambia railway reached 130,000t in 2015–2016, from 87,000t in 2014–2015, representing an increase of 49%.

For 2016–2017, TAZARA plans to improve its cargo traffic by 200% in 2016–2017, reaching 381,000t, which will account for 8% of TAZARA’s designed capacity of 5m t.

Accordingly, the Tanzania-Zambia railway expects its profit to reach USD44.1m over the next financial year thanks to the planned improvements.

In July 2016, TAZARA signed an agreement with African Fossils Limited of Tanzania to transport 18m liters (18,000t) of petroleum products to the Democratic Republic of Congo (DRC) in the next one year.

The fuel order is the second import consignment to be secured within a month, following the transportation order for 48m liters (48,000t) of petroleum for Malawi, secured in the end of June 2016.

http://www.zambiainvest.com/transport/tazara-profit-2015-2016
 
Kuna Mbuzi kama Mkuu wa wilaya Ileje wiki iliyopita amebomoa madaraja 16 kisa kuzuia magendo badala aweke TRA wakusanye kodi

Usipodhibiti entry points.. itakuwa nchi gani baba?? Hata wewe umeweka geti nyumbani kwako ili kudhibiti aingiaye na atokaye. Umezuia siyo anaingia kwako kwa njia anayoiona yeye inafaa kila.
 
ECONOMY & POLITICS
Pipeline cuts fuel transport costs in fight with Tanzania
THURSDAY, MARCH 16, 2017 19:18
BY GERALD ANDAE
pipe.jpg


Kenya Pipeline Company Limited (KPC) has cut the cost of transporting fuel to neighbouring countries by nearly a third in a bid to win back business lost to Tanzania.

Pipeline costs for products headed to Rwanda, Congo, Uganda, Burundi and South Sudan from the port of Mombasa will be $44.55 (Sh4, 579) per 1,000 litres, up from $59.32 (Sh6, 098).

This will see the importers save about Sh1.52 per litre for fuel transported on the pipeline and picked in Kisumu or Eldoret for neighbouring countries.

Countries such as Rwanda and Burundi have stepped up fuel imports through Tanzania’s main port in Dar es Salaam, arguing that Kenya’s route is expensive and experienced contamination of cargo.

Mombasa is facing increased competition from neighbouring Tanzania where the government is expanding the port of Dar es Salaam and plans to spend $10 billion building a new one at Bagamoyo, 52 kilometres (32 miles) north.

KPC managing director Joe Sang said the move to cut the cost will help the state corporation re-capture the lost regional petroleum market share.

“We have lost our market share especially in Rwanda and Burundi. We must get this rightful share back and this calls for proactive and strategic thinking. We not only want to regain the lost market, but also extend our operation into new frontiers in the region,” said Mr Sang.


The lower charges dubbed a promotional rate will start in April. The Kenya Transporters Association earlier said importers from regional countries were opting to route shipments through Tanzania because its fuel were untainted.

“Kenya’s position as the preferred petroleum importation route for landlocked East African nations is slipping out of our hands,” said the association in an earlier interview with the Bloomberg.

“It’s because importers feel our fuel is contaminated. We have unscrupulous traders. We have cases where some load transporters siphon fuel, add other products and when it gets to the destination countries, it is found to be adulterated.”

Tanzania also allows heavier loads on its roads. Importers to neighbouring countries have to use the road from Kisumu or Eldoret.

Mombasa is a gateway for imports to Rwanda, Burundi, Uganda, South Sudan, Eastern Congo and northern Tanzania and also an exit point, mainly for agricultural commodities such as tea and coffee.

While Kenya’s economy has been dominant in the region for decades, Tanzania, which is geographically bigger and holds vast quantities of gold and gas, is vying for more economic and political sway.

In addition to the new port, the country is planning a $7.6-billion railway connecting Dar es Salaam to Burundi, Rwanda, Congo and Uganda.

The link could rival Kenya’s own new rail line targeting the same countries. Construction of the first phase of Kenya line, which will connect the Mombasa port to Nairobi is almost complete and operations will start this July.


Pipeline cuts fuel transport costs in fight with Tanzania
chizi,na ile 20inch pipeline baado.ikianza kusafirisha ndio baasi.
 
Hahaha sasa mada imekuwa Kinyume nyume!!
Ila mie naona safi
sasa wakenya Mambo yameanza kuwapindia hahaha
Wameanza kuonja moto
Najua sasahivi wanaiogopa Tanzania kama Ukoma!!
Wacha twende tu
mchezo huu hautaki hasira,
Vita ndio kwaanza imeanza
 
Hao wanagombezana ni kaka zako, hawaelewi nchi yenu wenyewe. Kuchanganyikiwa, sijui wewe pia umechanganyika hivyo???
Usiwe unakurupuka!!
Hao wanao jibizani hawanihusu
mimi naongelea mlivyo shusha bei kisa Tanzania!!
Naona mmechanganyikiwa
 
Mawazo ya Watanzania na Wakenya huwa tofauti siku zote ni kama Mfanyabiashara(Kenya) na Mfanyakazi(Tanzania).
Wao wanawaza wafanye mambo wapate faida wasonge sisi Tanzania tumebaki kusema undugu wetu na Majirani zetu tunadumisha kwa ajili ya manufaa ya baadaye ni Aibu.

Fikiria ni gari za nchi ngapi zinapita hapa bure na kuharibu barabara zetu bila kulipa roadtoll.
Malawi inatusaidia nini zaidi ya Mahouse girl waliojaa huku, Congo imetupa nini zaidi ya music ?
Kenya itabaki juu wanawaza Biashara undugu baadae

wewe mkikuyu tuachie Tanzania yetu,kama haujui Malawi na Congo zinatusaidia nini kaaa kimya.
 
Annael,
Jamaa zetu wa Kenya kwa kusahau vurugu zao hawajambo na mwaka huu 2017 bado siku siyo zaidi ya 150 uchaguzi mkuu unafanyika Kenya na wafanyabishara wa Rwanda, Burundi, Uganda, Tanzania na Congo DRC hawajasahau hasara kubwa waliyopata mwaka 2007/ 2008 baada ya vurugu za uchaguzi mkuu Kenya.

Pay traders over post election chaos, EABC tells Kenya
The East African Business Council is putting pressure on Kenya to compensate Ugandans and Rwandan traders for the losses incurred during the post election violence between 2007 and 2008.

Twenty one Ugandan traders demand nearly $1.3 million for losses incurred at the height of the violence in Kenya. The total value of the losses incurred by Rwandese traders is yet to be revealed.

Property worth millions was destroyed during the post election violence. Former Electoral Commission of Kenya chairman Samuel Kivuitu says fighting would still have erupted no matter how he handled the 2007 elections.
source:Pay traders over chaos, EABC tells Kenya
 
Back
Top Bottom