Pipeline imekwisha hivo

Pipeline imekwisha hivo

Wacha porojo mwenye hela kajitoa ama jiwe atatumia "pesa ya ndani"mbavu zangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa wajinga wanaringa sana ati "pesa zetu za ndani" but when i checked niliona foreign exchange reserves za Tz ni $4bn pekee ukilinganisha na Kenya's forex reserves of $8.2 bn.

Huo ni umaskini wa ndani.
 
Hii project uganda wanaihitaji sana, so ni lazima ikamilike tu. Ni project kubwa sana hii mambo kama haya yatatokea tu lakn project ni lazma ikamilike sooner or later
Pia wewenajua unahitaji kununua magari na mandege sana ila pesa hauna.
 
Hawa wajinga wanaringa sana ati "pesa zetu za ndani" but when i checked niliona foreign exchange reserves za Tz ni $4bn pekee ukilinganisha na Kenya's forex reserves of $8.2 bn.

Huo ni umaskini wa ndani.
Budaa, Tanzania hadi sasa bado haijapoteza! Labda hao wafanyakazi na I'm sure watalipwa maana mikataba wanayo. Hapa aliepoteza ni aliyetumia pesa nyingi za utafutaji na uchimbaji wa mafuta, na kutoa hela za fidia ili bomba lipite.

Hapo kwa haraka utaona kwamba, kurudi nyuma itakuwa mbali na gharama zaidi kuliko kuendelea mbele. Hivyo mradi utaendelea na uzi utapandishwa tu hapa baadae as developing news!

Buda, hiyo forex reserve hapo Naii inachangiwa na kitu gani? Nitajie vitu vitano vinavuoongoza kwa kuingiza forex hapo Kenya halafu nikufundishe hesabu za real world.
 
Budaa, Tanzania hadi sasa bado haijapoteza! Labda hao wafanyakazi na I'm sure watalipwa maana mikataba wanayo. Hapa aliepoteza ni aliyetumia pesa nyingi za utafutaji na uchimbaji wa mafuta, na kutoa hela za fidia ili bomba lipite.

Hapo kwa haraka utaona kwamba, kurudi nyuma itakuwa mbali na gharama zaidi kuliko kuendelea mbele. Hivyo mradi utaendelea na uzi utapandishwa tu hapa baadae as developing news!

Buda, hiyo forex reserve hapo Naii inachangiwa na kitu gani? Nitajie vitu vitano vinavuoongoza kwa kuingiza forex hapo Kenya halafu nikufundishe hesabu za real world.

Kumbuka ujenzi wa bomba letu bado upo pale pale. Hivyo hayo mahesabu ya haraka yanaweza yakafanywa kivingine.
 
He has a chicken like head while wewe iko na jellyfish like head, so between a chicken and a jellyfish which one has brain. I think your guess is as good as mine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Do you know how much money burned in exploring and drilling oil wells? Abandoning multibillion investment demands a chicken head like the one you own.
 
Kumbuka ujenzi wa bomba letu bado upo pale pale. Hivyo hayo mahesabu ya haraka yanaweza yakafanywa kivingine.
Hata Kwetu ujenzi utaendelea maana apart from kutoa mafuta UG pia tutatumia same infrastructure kupeleka gesi UG. Ushaona effect kiuchumi ya hiyo?

Still swali hujalijibu. Nini kinaongoza kwa kuleta fedha za kigeni hapo Kenya? List 5.
 
😂😂😂😂 Do you know how much money burned in exploring and drilling oil wells? Abandoning multibillion investment demands a chicken head like the one you own.
Total did not explore the oil you dimwit 😂 😂 😂
 
Hata Kwetu ujenzi utaendelea maana apart from kutoa mafuta UG pia tutatumia same infrastructure kupeleka gesi UG. Ushaona effect kiuchumi ya hiyo?

Still swali hujalijibu. Nini kinaongoza kwa kuleta fedha za kigeni hapo Kenya? List 5.
Wacha kutoroka mada wee fala.
 
Back
Top Bottom