Pipi kifua zimepanda bei

Pipi kifua zimepanda bei

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hellow

Leo nimefika shop kununua pipi kifua kifua kidogo kinanisumbua so nikasema ngoja nipate pipi kifua, nikatoa jero ili nipate kumi naambia moja 100 sio 50 duh nikauliza kwanzia lini wakasema mbona ndio bei yake

Kwani pipi kifua zina matumizi mengine ambayo mm siyajui up zinapanda bei kienyeji ivyo?
 
Hellow

Leo nimefika shop kununua pipi kifua kifua kidogo kinanisumbua so nikasema ngoja nipate pipi kifua, nikatoa jero ili nipate kumi naambia moja 100 sio 50 duh nikauliza kwanzia lini wakasema mbona ndio bei yake

Kwani pipi kifua zina matumizi mengine ambayo mm siyajui up zinapanda bei kienyeji ivyo?
Najua unapoelekea 😂😂😂😂😂😂
 
Hellow

Leo nimefika shop kununua pipi kifua kifua kidogo kinanisumbua so nikasema ngoja nipate pipi kifua, nikatoa jero ili nipate kumi naambia moja 100 sio 50 duh nikauliza kwanzia lini wakasema mbona ndio bei yake

Kwani pipi kifua zina matumizi mengine ambayo mm siyajui up zinapanda bei kienyeji ivyo?
Ni mbadala wa sukari.Hapa kijijini kwetu tumenunua nyingi tunaunga kwenye uji.
 
Back
Top Bottom