Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Tueleweshane sheikh! Huenda Kuna raha nazikosa kwa hawa mabinti wa kwayaUtaelewa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tueleweshane sheikh! Huenda Kuna raha nazikosa kwa hawa mabinti wa kwayaUtaelewa tu
Kabisa.Hata malta tumeziboresha kwa kuziweka kwenye chupa kubwa na kuongeza maji na majani ya chai.Ahahah duh watz sikuizi mmekuwa creativity up inapendeza sana
Kama naanza kukuelewa hiviVijana wa hovyo watakueleza kwamba hizo pipi kifua wanazitumia wakati wanafanya mazoezi ya kikubwa 😜
Nawasubiri uenda nikatoa tongotongoKwakeli wakija waje na melezo yanayo jitosheleza
Kichaaa kapewa lungu litumie sasahuyu kulamba nyuchi hawezi
Hawezi.
Hiii kiboko ssnaaa 😆😆😆😆😆Kabisa.Hata malta tumeziboresha kwa kuziweka kwenye chupa kubwa na kuongeza maji na majani ya chai.
zungukia mashuleni huko utajua 50 ni hela kwa mtoto wa chekecheaHamna kitu cha 50 siku hizi
Kama unachochote unajua tujulishe plssTusubiri wenye matumizi nazo tofauti watusaidie.!!
Na karafuu pia zinapanda beiHata bamia zimepanda bei huku mitaani
Kwamba wewe hujui matumizi yake nyeti, au unatupanga?!!Kwani pipi kifua zina matumizi mengine ambayo mm siyajui
Hamsini zifutwe.Hamna kitu cha 50 siku hizi
Sijui ndiomana nasubiri wajuzi nisikie au raraa reree unajua?Kama unachochote unajua tujulishe plss
Sijui kabisaKwamba wewe hujui matumizi yake nyeti, au unatupanga?!!
Tuwe wavumilivuHuyo babu atakuwa na mengi anayajua acha tuone busara za babu.!
😅😅😅huyu kulamba nyuchi hawezi
Hawezi.