sikuplan kuchangia ila imebidi nichangie!!!
kwani ana mkataba nao kwamba kila mwaka atakwenda yeye na pale atakaposhuka asiende??
hebu acheni mawazo mgando!!
na nyie mnaoona kuwa kila anayekwenda against na ndomo basi ni team kiba mnakosea sana, inamaana huyo dai hapendwi na team kiba tu?? mbona wapo wanaowapenda wote? na wengine humu uanzisha uzi tu ilimradi kuwapima tu mawazo ili waone wht ll be the reaction of the teams, they hv nothing to loose.
Baada ya kuzoeleka kwamba kila mwaka Diamond platnumz kukonga nyoyo za watu wa Nai katika concert ya Safaricom. Sasa imekua ndivyo sivyo, baada ya waandaji hao kubadilisha upepo na kumchukua Jose Chamilione ili kuwauliza watu wa Nai kwamba WALE WANANI MPAKA KUWASHINDENI NYIE KWENYE INDUSTRY MUSIC? Hii inaonyesha kwamba Demand ya Diamond platnumz now is decreasing while Jose Chamilione is going high.
Huo ndo ukweli,watu wasiompenda Diamond wote wamejikuta wanamsapoti Kiba hata kama walikuwa hawapendi mziki wake