Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
sikuplan kuchangia ila imebidi nichangie!!!
kwani ana mkataba nao kwamba kila mwaka atakwenda yeye na pale atakaposhuka asiende??
hebu acheni mawazo mgando!!
na nyie mnaoona kuwa kila anayekwenda against na ndomo basi ni team kiba mnakosea sana, inamaana huyo dai hapendwi na team kiba tu?? mbona wapo wanaowapenda wote? na wengine humu uanzisha uzi tu ilimradi kuwapima tu mawazo ili waone wht ll be the reaction of the teams, they hv nothing to loose.
kwani ana mkataba nao kwamba kila mwaka atakwenda yeye na pale atakaposhuka asiende??
hebu acheni mawazo mgando!!
na nyie mnaoona kuwa kila anayekwenda against na ndomo basi ni team kiba mnakosea sana, inamaana huyo dai hapendwi na team kiba tu?? mbona wapo wanaowapenda wote? na wengine humu uanzisha uzi tu ilimradi kuwapima tu mawazo ili waone wht ll be the reaction of the teams, they hv nothing to loose.