Sarleh Arch
Member
- Feb 10, 2018
- 30
- 13
Samahani naomba bei ya bismati kwa kilo
Me370 kama nakuona uliweka rangi kijani nusu kopo maviungo ukatia yote daaaaaa umencheksha ila ndo kujifunza afu unajua jinsi yako matatizo kupika