Nahisi humu watu watakuwa wanasafishwa maplamsamba kimya kimya.Manake sio kwa tamaa hizi.Imeandikwa,
"Usitamani Mali ya jirani yako"
Hapana, kupiga mwanamke uchi na tena na mlanga (fimbo), hapaswi kutoka nje, unampiga ngumi za macho, binti wa watu kaumuka, hivi akiwa ni binti yako utakubali Magoya2000, msimamo haupaswi kuwa ni vitendo vya ukatili wa kijinsia.Mahusiano Mengi Ili yadumu unatakiwa uwe mbabe. Wanawake wakibongo ukileta mambo ya romantic (filamu za Spain)utalia. Huyo Mwamba anajua kucheza nao.