Pisi kali alafu mwenzio anainyanyasa sijui nimchukue

Pisi kali alafu mwenzio anainyanyasa sijui nimchukue

Jamani kweli uzuri wa mtu upo kwenye macho ya mtu, yaani unakuta mwanaume mwenzio ana mchuchu mkali yaani pisi kali ile mbaya laa ajabu anamnyanyasa ile mbaya.
Dah! Alafu mchuchu unamtokea anakwambia nina mtu eti nmechelewa.
Sasa kwa mateso yote anamtu ana futu.
Dah! Sio poa kabisa, jamani tuache utemi mbuzi tuwatunze wanawake zetu aisee, hata kama ni malaya, unapaswa kuheshimu mtu akupaye usingizi na kulea ndoto zako na watoto wako.View attachment 2473911
Haahaaa mambo hayako hivo.

Kuna pisi ilishawahi pigwa sawa sawa na jamaa wake mshikaji wangu akaitokea, siku za kwanza kwanza ikawa imemkubali baadae ikamchana jamaa ikamwambia inarudi kwa jamaa alomtema mwanzk

Cha kushangaza huyo dem akaweka status jioni hio, ni picha kuna convo ya mama na katoto. Mama anakauliza katoto "How do u know you are in love?" Katoto kanajibu "It's when you are hurt but still want to stay"

Ndo nikamwambia mshikaji wangu afute namba kabisa za huyo dem coz akiendelea koforce atakua ni mtu wa kutibu maswaiba ya mwanaume mwenzie.

Haya mambo hayamove hivo chief, hayana formula, ukimtokea utapigwa na kitu hutakaa usahau. Ni kuna jamaa tu wana bahati za kupendwa na hawa pisi no matter wanawatesa kiasi gn
 
Haahaaa mambo hayako hivo.

Kuna pisi ilishawahi pigwa sawa sawa na jamaa wake mshikaji wangu akaitokea, siku za kwanza kwanza ikawa imemkubali baadae ikamchana jamaa ikamwambia inarudi kwa jamaa alomtema mwanzk

Cha kushangaza huyo dem akaweka status jioni hio, ni picha kuna convo ya mama na katoto. Mama anakauliza katoto "How do u know you are in love?" Katoto kanajibu "It's when you are hurt but still want to stay"

Ndo nikamwambia mshikaji wangu afute namba kabisa za huyo dem coz akiendelea koforce atakua ni mtu wa kutibu maswaiba ya mwanaume mwenzie.

Haya mambo hayamove hivo chief, hayana formula, ukimtokea utapigwa na kitu hutakaa usahau. Ni kuna jamaa tu wana bahati za kupendwa na hawa pisi no matter wanawatesa kiasi gn
Uko sahihi, mapenzi ni hisia, unakuta mtu kafa kaoza yani hata iweje, unakuta mtu weewe unaona anateseks ila kwake anashukuru kwamba yuko na mtu anayempenda. Na ukijiingiza yale matesa yana hamia kwako.
 
umesema hata kama ni malaya nimuheshimu? au nimesoma vibaya
Umeelewa vibaya, umalaya ni ukimuona ila unapokuwa wewe ni malaya ila kwako hiyo tabia haijulikani ni bora kuliko anayenyanyasika kwa ukatili ulio wazi.
Au uamini unaweza kuwa na mpenzi malaya mbwa ila akija kwako anakuonyesha upendo na kukujali kama malaika?
 
Kwa maana hiyo unapenda wake za watu...anyway endelea kujali za mali za wakuu,,,utakuja kupakuliwa kisamvu hutakaa ukaamini.
Fani na maudhui
Form and content
Utumika kufikisha ujumbe.
 
Wengine upendelea kudundwa kama jinsi walivyoona mama zao wakidundwa Ili kudumisha penzi
 
Wengine upendelea kudundwa kama jinsi walivyoona mama zao wakidundwa Ili kudumisha penzi
Maisha yana vijimambo vya ajabu sana, kuna wengine wanaamini bila kuachika mara tatu bado hajapata mtu sahihi wala kuweza kutulia ndoani.
 
Kuna watu wanapiga wanawake daah, halafu demu hamwachi kuna mmoja alipigwa ngumi za uso na jamaa yake mpaka kakimbia, sasa rafiki yake si akaingilia ,yule mwenzake kagongwa kisawasawa.

Kesho yako wapo grocery wanagonga glass. Ila ndio hivyo wanawake wana prefer playboys na wahuni, nice boy aka waseminari ndio wanaopata tabu.
 
Maisha yana vijimambo vya ajabu sana, kuna wengine wanaamini bila kuachika mara tatu bado hajapata mtu sahihi wala kuweza kutulia ndoani.
Yote inategemea kile mama yake alichomlisha utotoni
 
DeepPond,hapa pagumu yaan mtu ana V8 anafugia bata wewe unataman hata Corora ndizi uweke kishoka
Ni sawa na mchungaji anavotamani sadaka ya muumini, ataanzisha kila Aina ya michango ili mradi ukitoka church mifukoni yote imecharara.

ila Ni dhambi muumini kutamani gari ya mchungaji, hata Kama zimejaa uani gari 20[emoji4]
 
Umeelewa vibaya, umalaya ni ukimuona ila unapokuwa wewe ni malaya ila kwako hiyo tabia haijulikani ni bora kuliko anayenyanyasika kwa ukatili ulio wazi.
Au uamini unaweza kuwa na mpenzi malaya mbwa ila akija kwako anakuonyesha upendo na kukujali kama malaika?
Vijana bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787], kwahiyo nawewe hapo umeona umewin[emoji23][emoji23][emoji23]. Kwakweli acha watufundishe akili tu maana vijana bado hatujajua peace of mind kwenye stable family.
 
Unakuta amezama penzini, na ndio shida ya kumuonesha MTU umempenda sana lazima atakutesa.
 
Mapenzi siku zote lazima mzani ulalie upende mmoja, mkikutana wote hampendani ama mnapendana hilo penzi haliwezi kudumu hata siku moja
 
Back
Top Bottom