Pisi kali tushawajua wanaomiliki vitu mnavyopiga navyo picha

Kama ww ni mwanaume ukafikiria hvo🤔🤔🤔🤔

Ntakuja kuandika vzr ngoja niishie hapa maana hz dala dala mi natype watu wanaangalia 🤣
 
Aisee nimeona[emoji23][emoji23],, hapo hujaangalia status zake WhatsApp sasa unaweza ukasema kweli huyu ni super woman,, kumbe hakuna lolote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Mambo mengi kweli alfu ma superwoman halisi wametulia zao kimya
 
Sasa hivi wameshagundua, wengi wakifika hizo location anapiga picha mwenyewe ama na girls wenzake, sponsors hawapigwi.
Hence kama ana badilisha daily, ama ni 23 anaetembea na wababu, hutakaa uelewe😂😂
 
Sasa hivi wameshagundua, wengi wakifika hizo location anapiga picha mwenyewe ama na girls wenzake, sponsors hawapigwi.
Hence kama ana badilisha daily, ama ni 23 anaetembea na wababu, hutakaa uelewe[emoji23][emoji23]
Kila muda vinajipiga picha kila kona vinajibenua utasikia "big boss lady" utafifkiri hata anamiliki hata duka la mangi
 
Kila muda vinajipiga picha kila kona vinajibenua utasikia "big boss lady" utafifkiri hata anamiliki hata duka la mangi
Me hua wananikera sana...utaona status mtu yuko mahali ambapo kwa harakaharaka ukipiga hesabu anaspend sio chini ya laki na macaption kama yote mara mwanamke mpambanaji sijui nini nini...halafu asubuhi yake anakupigia simu shosti mwenzio nataka nitolewe vitu nje nichangie pango basi 😂😂😂,,, yani hua naishiaga tu kucheka kwa sauti hadi anakata simu🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…