Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Kwakweli ๐๐.
mostly ndio hvyo.Japo ladies kujiita pisi kali naona tu ni jina la kikuwadi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli ๐๐.
mostly ndio hvyo.Japo ladies kujiita pisi kali naona tu ni jina la kikuwadi sana.
tuishi tuKwakweli ๐๐
Ndo kilichobaki๐tuishi tu
pesa kwanza, maneno baadae๐Kwahiyo unataka kusemaje ๐๐๐
Ndo watuambiage basi wanakozipata sio kujitangaza tu masupa wumani kumbe hakuna lolote ๐๐๐pesa kwanza, maneno baadae๐
kuchubuliwa nayo ni kazi๐Ndo watuambiage basi wanakozipata sio kujitangaza tu masupa wumani kumbe hakuna lolote ๐๐๐
Inaonekana sio kazi ndogo kama tunavyodhani๐๐๐kuchubuliwa nayo ni kazi๐
huonagi hadi wanazikanda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hatariii, nimekumbuka kitu, lolMe hua wananikera sana...utaona status mtu yuko mahali ambapo kwa harakaharaka ukipiga hesabu anaspend sio chini ya laki na macaption kama yote mara mwanamke mpambanaji sijui nini nini...halafu asubuhi yake anakupigia simu shosti mwenzio nataka nitolewe vitu nje nichangie pango basi [emoji23][emoji23][emoji23],,, yani hua naishiaga tu kucheka kwa sauti hadi anakata simu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
๐๐๐๐๐,, umekumbuka nini bestie ๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hatariii, nimekumbuka kitu, lol
Hahahah wanafekisha sana life la kitajiri alafu tena wanatuomba msaada sisi wachumia juaniMe hua wananikera sana...utaona status mtu yuko mahali ambapo kwa harakaharaka ukipiga hesabu anaspend sio chini ya laki na macaption kama yote mara mwanamke mpambanaji sijui nini nini...halafu asubuhi yake anakupigia simu shosti mwenzio nataka nitolewe vitu nje nichangie pango basi [emoji23][emoji23][emoji23],,, yani hua naishiaga tu kucheka kwa sauti hadi anakata simu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dawa yao ni kumiliki simu na siyo kuwa na Camera yenye simu.wanakeraga kweli watu wa hivyo...sijui dawa yao nini ๐๐
Hapo wamefake nini? Kuna Photoshop hapo?bro na maana hata kwa picha tu . Jinsi watu hususan sis vjana tunavyofeki life..
Ongeza sauti kwakweli ๐๐Dawa yao ni kumiliki simu na siyo kuwa na Camera yenye simu.
Niongeze volume?
Hamnaga pisi kali ya peke yakoPisi kali ni kupiga na kusepa tu
๐๐๐๐๐Ila nimeelewekawanakeraga kweli watu wa hivyo...sijui dawa yao nini ๐๐
Kibaya wanaangalia mda unatype! Ukiona mtu kaconcetrate washa camera ya mbele akijiona harudiiiHahahahahahahahahahahha kweli unakuta jitu linaaangalia screen yako