Pisi kali tushawajua wanaomiliki vitu mnavyopiga navyo picha

Pisi kali tushawajua wanaomiliki vitu mnavyopiga navyo picha

Me hua wananikera sana...utaona status mtu yuko mahali ambapo kwa harakaharaka ukipiga hesabu anaspend sio chini ya laki na macaption kama yote mara mwanamke mpambanaji sijui nini nini...halafu asubuhi yake anakupigia simu shosti mwenzio nataka nitolewe vitu nje nichangie pango basi [emoji23][emoji23][emoji23],,, yani hua naishiaga tu kucheka kwa sauti hadi anakata simu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hatariii, nimekumbuka kitu, lol
 
Me hua wananikera sana...utaona status mtu yuko mahali ambapo kwa harakaharaka ukipiga hesabu anaspend sio chini ya laki na macaption kama yote mara mwanamke mpambanaji sijui nini nini...halafu asubuhi yake anakupigia simu shosti mwenzio nataka nitolewe vitu nje nichangie pango basi [emoji23][emoji23][emoji23],,, yani hua naishiaga tu kucheka kwa sauti hadi anakata simu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahah wanafekisha sana life la kitajiri alafu tena wanatuomba msaada sisi wachumia juani
 
Back
Top Bottom