Pisi kali za mtaani kwetu zimenishinda zinataka cent, vipi za mtaani kwenu?

Pisi kali za mtaani kwetu zimenishinda zinataka cent, vipi za mtaani kwenu?

Habari zenu mabroh, masista, mashangazi, mabibi, mababu wanajamii forum wote kwa ujumla.

Moja kwa moja ktk mada.
Nimejaribu sana kuwa na maneno matamu na yenye mvuto kwa dada zetu lkn hatimae wanahitaj cent, nimewacklizisha sana ngoma za mboso na shaarukhan lkn mwish wa cku break up.

Chaajab na kinachoshangaza bad wanaish nyumban (kwa baba na mama) me unaniomba cent nilioipambania mchana kutwa we ya nini? Ukzngatia unalishwa unavishwa.

Utaskia oh hela ya pedi, cjui naomba zawad.
Duh! nmeamin sabab za umaskin pia ktk nchi yet pisi kali znahusika

Vp wakuu pande zenu vlevle wa moto au wamepoa, kama wamepoa kdg ck mojamoja tubadil upepo View attachment 1842457

View attachment 1842439

Ukiacha kuvaaa sendo na sox na vile vipensi vya njano,ndio uanze kuwa na mademu kwa sasa Tuachie sisi tunaopunwa tujilie vyetu
 
Huu mwandiko wa wale madogo wanaovaa soksi sendo na kibukta fulani hivii kifupi na leso imening'inia kama sio nyuma ya mfuko (makalioni)

Harafu tabia nyingine ya watu wenye huu mwandiko wanapenda sana chips, wakiwa kibandani utasikia
"kiongozi isikauke sana, weka kila kitu kasoro kachumbari, nyanya zenu hamjazichemsha mtaniba bakteria bure"

Kwa mwendo huo, pisi kali huziwezi dogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzee unataka vitu vizr na hutaki kugaramika?
 
Hata huku kwetu ni hivyo hivyo, wanawake sijui wakoje aseee
 
Nimegundua bado unautoto mwingi sana,kazania masomo yako mengine utayakuta tu
 
Aarrggh mada zilezile!!!,
1. Agenda zimeisha
2. Ubunifu wa agenda umefikia kikomo
3. Maisha ni yaleyale, hakuna vitu vipya
4. Hela hakuna mtaani, kila siku ni kama jana.. Kila unayekutana naye kila siku hali ya kifedha ni ngumu
5. Vijana tu wanapenda kulalamika
6. Mabinti tu wanapenda kuomba pesa

Me ningeomba mleta mada anirushie kanamba kadogo ka huyo mmoja muomba pesa
 
1. Agenda zimeisha
2. Ubunifu wa agenda umefikia kikomo
3. Maisha ni yaleyale, hakuna vitu vipya
4. Hela hakuna mtaani, kila siku ni kama jana.. Kila unayekutana naye kila siku hali ya kifedha ni ngumu
5. Vijana tu wanapenda kulalamika
6. Mabinti tu wanapenda kuomba pesa

Me ningeomba mleta mada anirushie kanamba kadogo ka huyo mmoja muomba pesa
Mkuu ili kuonesh yye c muumin wa hay mambo tungemuomba atubadlishie avatar yake kwanza
 
Back
Top Bottom