Pisi za kidimbwi zinakuwaga wapi mchana?

Pisi za kidimbwi zinakuwaga wapi mchana?

Mmaeeeweeeee 200k unapiga gori ka za Basketball au?!? Ndo maana vijana mnapaka mkongo. Hela inauma nyie¡! Huku Tandika ni buku mpaka buku 3 mwishoo
Hahahaaa, duh, kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake....

Ila wa buku 3 mmmmh.
......

Nb. Vijana oeni tu acheni kununua huduma
 
Katika kumalizia weeknd leo mapema sana nimeingia kidimbwi beach kurefresh kujiandaa na mikiki ya kesho. Kadiri muda unavokwenda pisi zinaingia ni hatari pisi kali sana, hivi hzii pisi zinakuwaga wapi? Mbona mchana sikutani nazo mtaani?

Au ndo zinakuwa zimelala sahv ndo zinaamka? Aisee ni shidaa wajumbe tutafute pesa[emoji1316]. Mungu ibariki Tz.
Sasa tutafute pesa muda wa kwenda Kidimbwi tutaupata saa ngapi ? Au unamaanisha kazi na dawa ?

By the way huenda wengine kuwa kwao Kidimbwi ndio kutafuta Pesa
 
Hizi pisi kwa mchana muda mwingi zinakuwa ndani ni mwendo wa kuchat tuu na madanga waliowanasa kidimbwi usiku.
Pia mchana ni muda wa kutoa huduma.
Ni mwendo wa toka mlangoni ndani ya ndinga.
Hizi pisi bei zao wengi ni kuanzia laki.
Kiukweli ni warembo balaa.
Wengi hawana muda na kitu inaitwa ndoa. Ukitaka matusi jaribu utakionaa.
Wengi wana urafiki na mashoga.
 
Hizi pisi kwa mchana muda mwingi zinakuwa ndani ni mwendo wa kuchat tuu na madanga waliowanasa kidimbwi usiku.
Pia mchana ni muda wa kutoa huduma.
Ni mwendo wa toka mlangoni ndani ya ndinga.
Hizi pisi bei zao wengi ni kuanzia laki.
Kiukweli ni warembo balaa.
Wengi hawana muda na kitu inaitwa ndoa. Ukitaka matusi jaribu utakionaa.
Wengi wana urafiki na mashoga.
Inaonekana kuna mengi unayajua
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kidimbwi location ilipo... ni center ya watoto wazuri na watumiaji wa pesa.. majirani tu wa kidimbwi wote wana hela.. na wenye hela huwa wanazaa warembo mara nyingi maana wanazaa na wanawake wazuri
🤣
 
Back
Top Bottom