NakujaSawadakta, yaan mwanaume hauna hekaheka hapana,tunataka kusikia leo mwajuma akakufata kijiwen sijui aisha mlikuwa nae kwenye shughuli yaana ni heka heka mwanzo meisho[emoji23][emoji23]
Hahahaha, we utakua unatoka masaki au obey kisha unakuja maandazi road huku, 😂😂 ,mademu wa uswazi siku hz hawashoboki na wa kishuaWadau hasa nyie mnaokaa uswahilini, hivi kwanini watoto au mademu wa uswahilini wanaturingia sisi tunaoishi kishua katika mitaa yao.
Yaani unaweza kumuita anaringa balaa ila sasa ukicheki mwanaume anayetembea naye unachoka kabisa, hivi tatizo ni nini?
Mmmmm weweNyie hamueleweki mnaringa sana .
Jielewe ,funguka sasa mtu anakupenda unakuwa kama mtoto mtoto basi yaishe yaishe naninataka shoo ?? Unakuwa kama demu unakatakata mara unablock mtu eti yaishe kwani wewe wanaume wengine huwaoni
Vijora hasa kipindi cha birthday zao zile, pia usikose hela ya kukata keki usikose, utawala sanaWaushuani mnaletaga mapenzi na kujifanya mnajua kupenda sana,hao watoto waushuani wanataka bilinge,yani kukimbizana,kupigana,zele heka heka mara upo na mwajuma,kisha aisha,kesho fatuma wao wanapenda mwanaume wa hivyo sio mwanaume umepooa unaleta romace tu.
Pia usisahau kuwapelekea zawadi kama vijora.
Wadau hasa nyie mnaokaa uswahilini, hivi kwanini watoto au mademu wa uswahilini wanaturingia sisi tunaoishi kishua katika mitaa yao.
Yaani unaweza kumuita anaringa balaa ila sasa ukicheki mwanaume anayetembea naye unachoka kabisa, hivi tatizo ni nini?
Poa adimu sanaNipo Mkuu
Poa adimu sana
Hongera kwa majukumu. Nice to see your repliesUmri na majukumu mkuu[emoji1787][emoji1787]