Pisi zitaniua

Pisi zitaniua

Mkipendwaga mnavimba sana 🤣🤣🤣 yale yale ya yule hoodrat aliopendwa na smart911 akavimba...

Mwishowe ooh siwezi kumtoa kichwani 😀😀😀! Msipende kuvimba mjue mna excess ya 1M kwa idadi. Ukipendwa pendeka, tuliaaa
Hold on 🤣🤣 Hoodrat ni nani tena? Nijibu tuendelee
 
hahahaha mzee wangu napiga bestie lakini nipo na mainchick bado shida ni nikipiga move tu kwa main bestie anakuja nisimulia kilakitu ... So nimepunguza movement Kwa mainchick

Mainchick alichokosea ni kunipaisha sana, sasa bestie anataka vyote apewe yeye...maana nilikuwa namcare balaa yan hadi ped ntamnunulia plus bites hahahaha
Amemaindi flagi 😀😀😀 ishi sana tu.
 
hahahaha mzee wangu napiga bestie lakini nipo na mainchick bado shida ni nikipiga move tu kwa main bestie anakuja nisimulia kilakitu ... So nimepunguza movement Kwa mainchick

Mainchick alichokosea ni kunipaisha sana, sasa bestie anataka vyote apewe yeye...maana nilikuwa namcare balaa yan hadi ped ntamnunulia plus bites hahahaha
Mkatie mazima mainchick, uzuri bestie hawez fanya makosa hapo. Anajua akizingua unahama.
 
@Depal honestly sikuwa na sababu ya kuharibu friendship yao....

Nilimpenda sana mainchick.... Alafu kipindi naanza nae mianya ya pesa ilikuwa mingi so I used to surprise her na nilimpenda sana....kias kwamba hata akija ghetto basi atashinda na simu yangu (sikuwa na mchepuko hata mmoja)

pia ameishawahi tumiwa simu yangu like one whole week

Shida nilikuja gundua mainchick anadate na jamaa flan hv dereva.... kupitia bestie maana that time (mainchick) alinitesa sana na akachange...imagine namplease aniambie nakosea wapi kmya

Pia namplease kama mahitaji yameongezeka nimpe ngapi kimya...

Basi katika kupuuziwa bestie apo anajua yote... alipata shida flan hv akaniita kwake and we ended up dating cause aliona nilivyo na true love
Duh
Sa sikia
Mwambie ukweli.. achague kushuka kuwa kiside babe au asepe.

Ila umetengeneza uadui hapo balaaa

Kwanini mnatongoza marafiki? Hata kama mtu kakosea,, uwa mnakuwa na mlengo wa kumkomesha aliyekosea au?
 
Yaani wakianza kuomba hela, wanaomba wote kwa mara moja[emoji3] utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.

Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto[emoji51].
Tafakari ubora wa hiyo alternative pia!!
 
Mkipendwaga mnavimba sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] yale yale ya yule hoodrat aliopendwa na smart911 akavimba...

Mwishowe ooh siwezi kumtoa kichwani [emoji3][emoji3][emoji3]! Msipende kuvimba mjue mna excess ya 1M kwa idadi. Ukipendwa pendeka, tuliaaa
Fact mkuu....@Depal usinilaumu Sana ...na hiyo yote ni sababu mainchick aliona nampenda... Maana nilikuwa mtulivu kuna kipindi naumwa hoi lakini akiomba hela napiga simu anatumiwa, Hali akinihitaj anytime nipo free, outing na vngne vingi

but sisi introvert tunajaribu, nilijaribu mwaka mzima bila mafanikio ndio bestie akasogea kwangu
 
Fact mkuu....@Depal usinilaumu Sana ...na hiyo yote ni sababu mainchick aliona nampenda... Maana nilikuwa mtulivu kuna kipindi naumwa hoi lakini akiomba hela napiga simu anatumiwa, Hali akinihitaj anytime nipo free, outing na vngne vingi

but sisi introvert tunajaribu, nilijaribu mwaka mzima bila mafanikio ndio bestie akasogea kwangu
Dah
 
Duh
Sa sikia
Mwambie ukweli.. achague kushuka kuwa kiside babe au asepe.

Ila umetengeneza uadui hapo balaaa

Kwanini mnatongoza marafiki? Hata kama mtu kakosea,, uwa mnakuwa na mlengo wa kumkomesha aliyekosea au?
🤣 Hahaha kushuka vyeo atalia tena hasa akijua beste anammegea apple lake.

Wanawake huwa mnashangaza sana, you think you can freak out and back kwa jamaa yako anaekujali na kukuthamini and he'll be okay with it?
 
I will make it official inshallah.... na yote haya nilikuwa namwambia mainchick kwamba katika ubaya nitaona wema wa wengine akawa anasema namtishia nifanye ninavyoona....
We huyo kata line tu, hata usimwambie ili ahangaike na nafsi yake. Theres a big difference between being available and non existent.
 
Duh
Sa sikia
Mwambie ukweli.. achague kushuka kuwa kiside babe au asepe.

Ila umetengeneza uadui hapo balaaa

Kwanini mnatongoza marafiki? Hata kama mtu kakosea,, uwa mnakuwa na mlengo wa kumkomesha aliyekosea au?
hapana sio kumkomesha....mfano mimi kuonana na girl nikampenda ni ngumu na majukumu yanabana

Sasa katika maumivu yale ndio nikamuona bestie ake.... tena siku yenyewe mainchick alihitaji viatu nikamwambia mama naomba nikakununulie mimi then nije nikuone alikuwa kwa wazazi that day, akasema anaweza asitoke so nimpe bestie friend atanunua mm nisihangaike

Bestie friend nikamtumia and sasa akawa anashangaa y friend ake anafanya maujinga yale .. the day I and bestie met nilienjoy sana, she breath positivity.... Upstairs she is so great na alikuja na makanga na ndala (I like simplicity)

Nikaanza date nae 3 week later baada ya kutotafutana na mainchick but ghafla amerudi tena
 
Ok
Ulikuwa unahudumia
Moto je? Ulichochea vyema?
Yes nilikuwa namhudumia vizuri tu , Moto napeleka vizuri (siwezi msemea yeye) shida kubwa kwamujibu wa Shem inaonekana alianza na the guy mda mrefu....

So I can't blame her, japo nahasira and I loved her sana kwakweli
 
Back
Top Bottom