Pisi zitaniua

Kazi yake mola haina makosa. Kitumie ndo kaz yake iyo ulitaka kuku ndio akupige mizinga
 
Mungu hafungwi na mda wa dunia hii.. so kwa Mungu hakuna kuwahi wala kuchelewa.. Yesu aliwapa watu kazi shambani, ila alie anza na alie kuja mwisho wote aliwapa ujira sawa
Mkuu usipotoshe bhan yesu hakuwapa watu kazi shambano bhna alichokifanya Ni kutoa mfano wa tajiri aliye wapa kazi shambni kwakwe na siyo yesu alifanya hvyo plz usipotoshe mkuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Extrovert hapo ujue sio pisi ya kutoka sana., Haibabaishwi na pesa pia.

Mwaka huu nilipo hamia nakutana pisi ambazo hazina shida kiasi kwamba Mimi ndio nakuwa na shida nazo.
 
😂😂😂😂😂😂
 
Pambana mkuu maana kula mbususu moja inaonekana ni mtihani kwako na wengi wetu kiujumla.
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…