Walisamaki
Senior Member
- Nov 28, 2022
- 199
- 324
Kashindwa kabisa, atafute kazi ingine 😅😅🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Naona malaika wa mbunye anafanya majukumu yake ipasavyo! Anakusukumia kingi tu
Umempangia majukumu mengine sio?Kashindwa kabisa, atafute kazi ingine 😅😅
Nimempa kitengo kingine asee 😅😅Umempangia majukumu mengine sio?
Sema unipe namba ya Aminata nimedata nimpe kazi ya house girl 😅😅😅Umempangia majukumu mengine sio?
Wee Kweli ulilogwaYes, hakuniomba kabisa. Tena Mimi nilijipeleka mpaka anapoishi...nikamtoa out...na kisha nikamrushia hiyo pesa...yaani..just like that!!!....and e'was a huge amount of money. Daah fear womenooohhh
Nikiikumbukaga ile hela huwa naumia sana.
Mkuu usipotoshe bhan yesu hakuwapa watu kazi shambano bhna alichokifanya Ni kutoa mfano wa tajiri aliye wapa kazi shambni kwakwe na siyo yesu alifanya hvyo plz usipotoshe mkuuMungu hafungwi na mda wa dunia hii.. so kwa Mungu hakuna kuwahi wala kuchelewa.. Yesu aliwapa watu kazi shambani, ila alie anza na alie kuja mwisho wote aliwapa ujira sawa
Niliweka sawa mkuu, kuhusu huo mfanoMkuu usipotoshe bhan yesu hakuwapa watu kazi shambano bhna alichokifanya Ni kutoa mfano wa tajiri aliye wapa kazi shambni kwakwe na siyo yesu alifanya hvyo plz usipotoshe mkuu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
🤣 Uwongo yule mtoto awe housegirl kweli?Sema unipe namba ya Aminata nimedata nimpe kazi ya house girl 😅😅😅
Mwanangu eee Depal alisema unipe tip za kuomba mzigo bila kuwa direct sana....[emoji1787] Uwongo yule mtoto awe housegirl kweli?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Nimecheka sanaMwanangu eee Depal alisema unipe tip za kuomba mzigo bila kuwa direct sana....
Kuna kazi nipo nataka nijaribu kubet kumla.
Mzee hebu malizia kucheka alafu ufanye kama ulivyoagizwa na dada mkubwa[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimecheka sana
Dawa zenu kama Mbolea za ruzuku uje ponza watu.Zipo za kutosha
Huyo mnyakyusa na muelewa sana.🤣🤣🤣 Apostle Kuna muujiza
😂😂😂😂😂😂Lazima utazituma tu. Kwasababu now uko possessed. So unaweza kujikuta umewatumia na usijue umewatumiaje.
Nakumbuka kuna siku , picha ya dem ilikua ikizunguka akilini mwangu sana....nikajikuta nimemtumia kiwango kikubwa sana cha pesa , yani mpaka leo sijuagi niliitumatuma vipi ile hela!
#KundaliniSpirit
SawaYaani wakianza kuomba hela, wanaomba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.
Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto😬.