Pisi zitaniua

Pisi zitaniua

Yaani wakianza kuomba hela, wanaomba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.

Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto😬.
Ni kitu gani cha tofauti unapata kutoka kwao zaidi ya kutoa mkojo mzito?
Nini tofauti yao?
 
Unajua girl anapanda hadhi kutokana na unavyomtreat....Jamaa hapo umemshauri vizuri lakini alipata girl mfano wa 50 per mwezi....baada ya mda girl akiona jamaa anavisent ataanza badilika jamaa apandishe Hadi 200k au 100k.
Visenti ni kujionyesha dem mkazie haswa akikuimba pesa mpe buku dasi, Unampeleka lodge ya buku tano unamchapa ukimaliza unamwambia kuna sehem unawai.
Akikuacha unatafuta mwingine.
 
sijui niweke screenshot hapa, sahizi asubuhi hii baada ya kunishauri nimemcheck the answer is awful....

Nime end relationship, but naumia i learned to love her, miaka miwili na nusu mingi sana.... But I end up today...

Ila uzuri nimejifunza kitu kikubwa sana,....nimejifunza women have worth wanawake wanathamani, all of them niliwasumbua lakini yeye amenisumbua..

Nimejifunza vingi sana upendo, kujali, msimamo, kukaa na girl room siku nyingine bila sex..... I learn t and all thanks to her. Sema njia yake itamcost nitakuja quote hii convo yetu sikumoja.
Inamaana umeamua kufanya maamuzi ya kibabe ingawa bado unampenda.

Kikubwa tafuta amani ya rohoni maana hujaumbwa kuja kuteseka hapa duniani.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
hahaha fact, although i love her but I always make harsh decision cause I am always in my full and right mind...

For example I ended the relationship with her previously and I was owky with that.....until she came back her self....

Sometimes we show love only because we don't want to jump from person to person that's too risk
Well done, but the scenes evidence are very clear that too much is harmful, means that even if you have decided to display a true love to your closely relative wife or girl, make sure it is within the moderate scale rate for yourself suitable health benefits.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Well done, but the scenes evidence are very clear that too much is harmful, means that even if you have decided to display a true love to your closely relative wife or girl, make sure it is within the moderate scale rate for yourself suitable health benefits.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
sure mkuu....she knew how to play me hahahaha lazima nikasirike na kuumia....

She is smarter sana....japo hana maisha marefu kwastyle yake ya maisha ila God is good all the time...
 
Mainchick hata staha tu ya maneno anakosa...

Nilijitahidi sana kumbadilisha mkuu... Mimi sio muongeaji so ukiona hadi nasema I sat her down kumuelekeza ujue I did my best ....

I don't think I deserve this bestie but she is a God sent mkuu....she knows things, knowledge wise she is so good....upendo huja tu

Things are tough both ways, but God is good, if it does not work I will go ...I have tried for about 7 months to fix things (7 months) na mtu unaona ndo kwanza anaona huna akili...

Mainchick sio mkubwa kihivo yupo 21 23 so unamuona hajamaliza stage flan japo yeye amezidi.
Unapata wapi ujasiri wa kudate na Ke kwa rika hilo Ndugu?

Huoni wewe ndiye tatizo hapo?

Kwa 70% - 80% Ke katika rika hilo hawajapevuka kiakili na huwa wanaamini bado wana soko sana katika kupendwa na Me yeyote, hivyo hupelekea kuwa na viburi, maringo na hata kuona akipigwa chini atatongozwa na Me mwingine wakati wowote.

Huyo Ke yuko sahihi kuwa katika hali hiyo, ni sawa na sisi Me huwa kuna rika la Uvulana (16- 29) na rika la Uanaume (30 kuendelea).

Kiufupi huyo Binti hawezijutia chochote sasa hivi hadi atapoachwa na huyo Dereva, pia huwa Ke wa rika hilo hawanaga siri na misimamo katika mahusiano yao sababu bado damu ni changa.

Kila la heri katika chaguo lako la pili.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom