Pisi zitaniua

Pisi zitaniua

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mpe tiket ya motoni blaza mbona unamchelewesha
Hatari malaika watakuwa wamekula konaaa 😅😅😅 jana nilipata zari mtoto kunikomalia aje alale kwangu, nilimkataa siku hizi namisimamo kama ya jiwe 😅😅
 
Back
Top Bottom