CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
LY.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Level ipi? O au A?... [emoji23] ulipata daraja gan mathematics [emoji8][emoji23]...
Noumaaaah!!haya tuambie mamaa... zile enzi zako za ubint ilikuaje?
zote to dear... Au fanya Ordinary levelLevel ipi? O au A?
Tulianzisha nenoWakuu...
Habari ya jumamosi tulivu hapo ulipo??
Umeshapata chai????
Sasa sikiliza nikuambie,
Najua ulishapita shule, iwe chekechea, vidudu, msingi, sekondari hata chuoni.
Kama utakua unakumbuka vizuri, tulikua na:
1. Majina ya utani ambayo iwe mwalimu au mwanafunzi kutaniwa
2. Misemo ya kiutani au ya kiukweli ambayo ni maarufu tulikua tukiitumia katika mambo ya ufaulu, ulipaji ada na kadhalika
3. Au hata sehemu yoyote ambayo inajihusisha na elimu kwa ujumla..
Sasa kwanini nimeandika hivi??
Ni hivi, leo nilipo amka asubuhi, nikawa nimekumbuka sana enzi nasomesha.
Ilikuwa ikifika kipindi cha ulipaji ada mambo yanakua moto sana utasikia
"January hii bwana hakuna hela"
Sasa naomba wakati tukiendelea kuvinjari mapumziko
Dondosha utani wako unaoukumbuka kwenye kada ya mambo ya kishule ...
Niko hapa nasubiri kusoma unachokikumbuka
1.. 2.. 3... twende kazi