Ni mwenyeji sana huko hasa katika biashara hiyo kabla sijazamia mtoni. Nilikuwa nalala Bukoba mjini, then asubuhi naondoka na Bus la Friends, saa 7 mchana tuko Kampala na brocken english yangu, muda huo unafanya window shopping harafu asubuhi unaaza kununua au mchana huo. Ukiwahi kesho unaondoka na Friends ya saa sita mchana unalala tena Bukoba then asubuhi tu saa tano uko Geita. Nilikuwa nalala Samarini kama unapafahamu. Biashara ya nguo haina stress kama vipodozi ambavyo TFDA wamekuwa na bifu navyo.