Pita hapa kama unataka kujua chochote kuhusu biashara Kampala

Ni wazo tu jamani hivi kwanini mtu asianzishe uzi ambao utamuwezesha mtu kuchangia kuuhu jinsi alivyopata mafanikio yake ili wengine wapate kitu ila yawe ya njia halali
ANGALIZO: Huu ni ushauri tu
Vizuri Sana. Itatusaidia wengi
 
Wakuu nashukuru kwa hii mada.
Mfano mzigo milion 3 kamili naweza pata faida kiasi gani.
Asante
 
kingine kinachosaidia ni thamani ya hela tz na ug...ya kwetu ipo juu hivyo gharama zinakua sio kubwa sn ukilinganisha na nchi nyingine km Rwanda
 
Ndiyo, chukua ya mwaka mmoja (10,000/=)

east and central African unaweza tumia hio ya mwaka mmoja bila shida yoyote...ila km unafanya sana biashara chukua hio ya elfu 10 wkt huo una fanya application ya ile kubwa ya elfu 50 ili usihangaike kila mwaka kufuatilia hilo karatasi
 
Mkuu nimevutiwa na maelezo yako naomba unitumie biz cards za hao dealers wa nguo kama hutojali whatsap no 0688939892
 
Mkuu unafaa sana maana unatupa maujanja kibao
 
Mie nilikuwa nafikia Rock Classic ni salama hata ukiacha mlango wazi na hivi majuzi wameongeza huduma nyingine ya tungi hivyo ukiwa mpenzi wa maji na watoto mbona utabadiri uraia huko huko.
Mkuu hiyo rock clasic vip gharama zake
 
Hii inatukumbusha stori ya Bwana yule aliye ukwaa uongozi kwa bahati nasibu.
 
Vp mm nataka kufata rasta,weaving na wigi nipe direction
 
Kampala ni hatari sana,,nlisoma hizi nyuzi zimenisaidia sana,,nimemaliza kufunga mzigo kesho narudi Tz,,ndani ya week nne ntarudi,,nimeona fursa nyiiingi,,naenda kujipanga nirudi na nguvu ya hatari
Long live Jf
Tueleze
 
Baada ya kusoma nyuzi nyingi za biashara na kampala nikaamua kuja kujionea,,nimepanda bus la friends mpaka kampala,,through research nikawa najua where to go kupata vitu navohitaji,,nafanya biashara ya nguo,,vitu ni vingi na vizuri,,bei sio kubwa kama dar nahisi sababu ya thamani ya pesa yao,,watu wa hotel niliyofikia wako very friendly pia,,nguo,viatu,vyombo ,,mashuka etc,,nauli sio gharama,,so kwa ufupi naona ukikazana unatoka
 
Mtaji mdogo kwa MTU anaye anza inatakiwa awe na shi ngapi
 
Hbr mkuu,
Napenda kujua kuhusu soko la ASALI kwa upande wa Kampala,,
Demand yake iko vp kwa wenzetu?
 
Hbr mkuu,
Napenda kujua kuhusu soko la ASALI kwa upande wa Kampala,,
Demand yake iko vp kwa wenzetu?
 
Ni wazo tu jamani hivi kwanini mtu asianzishe uzi ambao utamuwezesha mtu kuchangia kuuhu jinsi alivyopata mafanikio yake ili wengine wapate kitu ila yawe ya njia halali
ANGALIZO: Huu ni ushauri tu
Lakini pia kumbuka maisha ni siri
 
Kweli kabisa fashion mpya zinaanzia huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…