Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,114
- 4,486
Yap! Yap! i will keep you posted once i'm fully and well prepared.Mkuu ukiwa tayari nitafute mkuu, itakuwa vizuri kama tukawa pamoja kwani hata mimi siku zote najua Kampala itanitoa nikikomaa nayo kibiashara
Ila nasikia kuna watoto warefu mithili ya twiga tena wana ngozi mororo halisi ya kiafrika!!!
Hapa "mpango wa kando" utahusu japo mdogo mdogo sitazama mazima ka Mondi kwa mtoto zarina!!!