CHARLES KIHOMBO
Member
- Feb 28, 2014
- 76
- 19
Naomba msaada kwa hili hv ukimaliza kusoma hiyo kozi kwa mwaka mmoja je utaanza tena miaka miwili kwa ajili ya kusoma ualimu daraja A au utaingia moja kwa moja mwaka wa pili ili kusoma tena ualimu daraja A kwa mwaka mmoja tena kufanya miaka 2 au ndio tutasoma miaka mitatu!
hamna ukifaulu mtihan unaenda mwaka wa pili mazima wala uxmi miaka 2 labda ufeli kk ndo hvyo mku
hapo sawa! Vyuo vya private navyo vitatoa kozi hiyo?
vitatoa , ukisoma lile tangazo linasema maelekezo haya yanahusu vyuo vya private na vile vya serikali,
na ninadhani hawa ndio watakuwa wateja wakubwa wa vyuo vya private, kwa sababu wale 1,2,3, waliowengi
wanapenda kuendelea na 5,6.