CHARLES KIHOMBO
Member
- Feb 28, 2014
- 76
- 19
Naomba msaada kwa hili hv ukimaliza kusoma hiyo kozi kwa mwaka mmoja je utaanza tena miaka miwili kwa ajili ya kusoma ualimu daraja A au utaingia moja kwa moja mwaka wa pili ili kusoma tena ualimu daraja A kwa mwaka mmoja tena kufanya miaka 2 au ndio tutasoma miaka mitatu!