hapo utakua unamaanisha wachaga 😕
msukuma
Alipokutongoza ulikuwa unavaa Madera na mabaibui tu?
naombeni mniambie nifanye mazoezi gani miguu yangu inenepe?? nimeachwa kisa cna mguu
vipi kuhusu mazoezi?pole sana yaani kwa miguu hakuna namna maana hata mchina hawezi yaani vingine vyoteee aliweza ila miguu haiwezekani kama angekuwa anaweza wema sepetu angeweka ya mchina.
naombeni mniambie nifanye mazoezi gani miguu yangu inenepe?? nimeachwa kisa cna mguu
Mungu aliyekuumba ivo atakupa mke/Mme atakayependa hiyo miguu yako.
Jikubali kwan ww ni zaid ya miguu anza kusoma vtabu vya kujtambua na kujua ww ni wathamani machoni pa Mungu na si miguu,miguu ni device tu kukuwezesha kutembe,kuruka, kukimbia nk mshukuru Mungu walau ww unayo miguu,wakumbuke wasio kuwa na miguu upate sababu ya kumsifu Muumba wako.
miss chagga mbona kanona vizuri tumbona izo stand zipo standard kabisa au jamaa analake jambo.Mi ukimuona mamsapu wangu wa zamani miss chagga au masai dada au hata mie mwenyewepia ailkuwepo mwingine shansarie sijui wapi siku izi mbona ww utajiona una matende?
msukuma
Ni siku izi tuu,ulimwona enzi zilee?miss chagga mbona kanona vizuri tu